| Swahili
AFRIKA
1 DK KUSOMA
Wanajeshi 33 wauawa katika shambulio la kigaidi nchini Burkina Faso
Taarifa kutoka kwa jeshi inasema kuwa kikosi kilichoweka kambi yake katika jimbo la Gourma kilishambuliwa na watu wasiojulikana.
Wanajeshi 33 wauawa katika shambulio la kigaidi nchini Burkina Faso
Wanajeshi wauwawa katika shambulio Archives Reuters / Others
29 Aprili 2023