Na Yusuf Dayo
29 Aprili 2023
Taarifa hiyo iliendelea kusema kuwa magaidi takriban 40 walidhibitiwa katika makabiliano hayo lakini wanajeshi 33 waliuawa huku wengine 12 wakijeruhiwa.
ZILIZOPENDEKEZWA
Burkina Faso, mojawapo ya mataifa maskini zaidi barani Afrika, limekuwa likilengwa na magaidi wanaohusishwa na wanamgambo wa Al Qaeda na DAESH walioweka kambi zao katika nchi jirani ya Mali tangu mwaka wa 2015.
CHANZO:AA















