tokea masaa 3
Afisa huyo, ambaye alizungumza kwa sharti la kutotajwa jina, hakutoa maelezo zaidi.
Wizara ya Ulinzi ya Marekani na Kamandi Kuu ya Marekani hazijatoa ufafanuzi wowote.
Ofisi ya Ikulu ya Marekani imesema kwamba Rais Donald Trump “amepewa taarifa” kuhusu tukio hilo.
Hapo awali, vyombo vya habari vya serikali ya Iran vilichapisha picha na video vinavyodai kuonyesha mabaki kutoka eneo la ajali.
Tathmini za awali kulingana na picha hizo zinaashiria kwamba ndege iliyodunguliwa inaweza kuwa ndege ya kivita aina ya F-15.
CHANZO:Reuters











