| swahili
MICHEZO
1 dk kusoma
Algeria yafuzu kwa Kombe la Dunia 2026
Algeria imefuzu kwa Kombe la Dunia siku ya Alhamisi, ikiwa ni timu ya nne kutoka Afrika kupata nafasi hiyo kwa mashindano yatakayofanyika Marekani Kaskazini mwakani, baada ya kuwafunga Somalia 3-0.
Algeria yafuzu kwa Kombe la Dunia 2026
Algeria sasa ni timu ya nne kutoka Afrika kufuzu kwa Kombe la Dunia 2026, baada ya Misri, Tunisia na Morocco. / Picha: Reuters
9 Oktoba 2025

Algeria imefuzu kwa Kombe la Dunia siku ya Alhamisi, ikiwa ni timu ya nne kujikatia tiketi kwa mashindano hayo yatakayofanyika Marekani Kaskazini baada ya kuifunga Somalia 3-0.

Mohamed Amoura amefunga magoli mawili – na kufikisha idadi yake ya magoli katika kuwania kufuzu hadi nane – na nahodha Riyad Mahrez pia alifunga.

Ushindi huu wa Algeria unawafanya kuwa na jumla ya alama 22 ikiwa bado wamebakisha mechi moja kucheza katika kundi G. Itakuwa fainali ya tano ya Kombe la Dunia lakini ya kwanza tangu mashindano yaliyochezwa Brazil 2014.

Timu itakayoibuka wa kwanza katika kila kundi kwa makundi tisa ya Afrika inafuzu moja kwa moja kwa mashindano hayo yatakayochezwa Canada, Mexico na Marekani, na Algeria inaungana na Morocco, Tunisia na Misri ambao pia tayari wamefuzu.

CHANZO:TRT Afrika Swahili
Soma zaidi
Ligi Kuu ya England (EPL) kurindima tena baada ya mapumziko
Nini Nigeria ifanye kufuzu Kombe la Dunia 2026?
Ndege ya timu ya soka ya Nigeria iliyokuwa inaelekea nyumbani yalazimika kutua kwa dharura
Timu ya raga ya Afrika Kusini mabingwa wa dunia tena
Kenya yashinda afueni ya vikwazo vya matumizi ya dawa za kusisimua misuli
Namibia na Zimbabwe zafuzu kwa Kombe la Dunia la Kriketi T20 mwaka 2026
Arsenal na Newcastle wapata ushindi kwenye mechi za Ligi ya mabingwa barani Ulaya
India yagoma kushiriki hafla ya kombe baada ya kuipiga Pakistan kutwaa taji la Kombe la Asia
Wanariadha wa Kenya Wanakaribishwa Kwa Shangwe Baada ya Ushindi Wao Katika Tokyo
Nyota wa Ufaransa na PSG Ousmane Dembele Ashinda Ballon d'Or 2025
Botswana yaweka historia kwa kushinda dhahabu ya kusisimua ya 4x400m
Lilian Odira wa Kenya ameshinda dhahabu ya dunia katika mbio za 800m kwa kumshinda Hodgkinson
Wakenya washinda mbio za marathon za wanaume na wanawake mjini Berlin
Mkenya Peres Jepchirchir ampiku Tigst Assefa wa Ethiopia kupata dhahabu katika mbio za marathon
Alphonse Simbu adakia dhahabu ya kwanza kabisa kwa Tanzania Katika Mashindano ya Dunia ya mbio-Tokyo
Omar Artan aweka historia ya kuwa mwamuzi wa kwanza wa Somalia kuchezesha Kombe la Dunia la FIFA
Morocco iliishinda Niger na kuwa timu ya kwanza ya Afrika kufuzu kwa Kombe la Dunia la 2026
Kipa Mbrazil Ederson ajiunga na Fenerbahce ya Uturuki akitokea Manchester City
Morocco yaipiga Madagascar na kushinda taji la tatu la CHAN
Abdou Abdel Mefire ameteuliwa kuwa mwamuzi katika fainali ya CHAN PAMOJA 2024 jijini Nairobi