| Swahili
MICHEZO
1 dk kusoma
Timu nne za Afrika zafuzu kwa Kombe la Dunia kwa Wanawake
Algeria, Morocco, Cameroon na Malawi wamefuzu kwa Kombe la Dunia kwa Wanawake 2027 nchini Brazil.
Timu nne za Afrika zafuzu kwa Kombe la Dunia kwa Wanawake
Malawi imefuzu kwa Kombe la Dunia kwa Wanawake kwa mara ya kwanza. X @COSAFAMEDIA

Algeria, Morocco, Cameroon na Malawi wamefuzu kwa Kombe la Dunia kwa Wanawake 2027 nchini Brazil.

Mashindano ya Mataifa ya Afrika kwa Wanawake (Wafcon) nchini Morocco pia yanatumika kama daraja la kufuzu kwa Kombe la Dunia mwakani. Timu zote zilizofika hatua ya nusu fainali tayari zimepata tiketi hiyo.

Mataifa manne yaliyofungwa kwenye mechi za robo fainali za Wafcon - Ghana, Cote d'Ivoire, Nigeria na Afrika Kusini - bado yana nafasi ya kufuzu kwa Kombe la Dunia kupitia mchakato wa mechi za mtoano.

Siku ya Alhamisi,Cote d'Ivoire inakabiliana na Ghana na Nigeria kukipiga na Afrika Kusini ambapo washindi wawili katika mechi hizo wataelekea kwenye mashindano ya mtoano ya mataifa 10 kati ya mabara mwezi Novemba na Disemba.

Kati ya timu hizo 10 katika hatua ya mtoano, tatu zitafuzu kwa Kombe la Dunia, ambalo linaanza tarehe 24 Juni na kumalizika 25 Julai mwakani.

CHANZO:TRT Afrika Swahili
Soma zaidi
Algeria imefanikiwa kupata medali kwa mara ya kwanza katika mashindano ya WAFCON baada ya kuishinda
Afrika Magharibi ving’ang'anizi kwa mara ya kwanza kwa nafasi ya tatu WAFCON
Madada wawili wa Malawi kuendelea kuibeba timu fainali za WAFCON dhidi ya Cameroon
PSG kuikabili Aston Villa fainali ya UEFA Super Cup nchini Austria
Nairobi yawasilisha ombi la kuandaa Mashindano ya Dunia ya Riadha 2029
Trump aionya FIFA kuhusu kumtimua Gianni Infantino
Josephine Sembeyo wa Kenya ashinda dhahabu ya mita 1500 katika Mashindano ya Dunia ya Vijana (U20)
Algeria na Morocco zafuzu Kombe la Dunia la Wanawake
WAFCON 2026: Morocco kuchuana na Afrika Kusini katika Robo Fainali
Shirikisho la Soka Afrika lamuunga mkono rais wa FIFA  licha ya 'kukiri makosa’
Vinicius Jr aizima ndoto ya Arsenal, asaini mkataba mpya na Real Madrid
FIFA yamuunga mkono Rais Gianni Infantino baada ya mkutano wa dharura Morocco
Mabondia wa Uganda watoweka baada kumalizika kwa Michezo ya Jumuiya ya Madola Glasgow
Trabzonspor yaanza mazungumzo rasmi na mchezaji wa Misri Mohamed Salah
Kocha wa Marekani Pochettino akubali kuongeza mkataba kwa miaka 4 hadi Kombe la Dunia 2030
Liverpool yamaliza ziara ya maandalizi ya msimu ujao ya nchini Marekani
Brentford imemsajili kiungo wa Mali, Mamadou Sangare, kwa ada iliyoweka rekodi ya klabu
Gwiji wa soka wa Italia Franco Baresi afariki dunia
Mataifa ya UEFA yapiga kura kususia Kombe la Dunia kufuatia mpango wa FIFA wa kuuza hisa
Kocha wa Korea Kusini ahojiwa bungeni baada ya matokeo mabovu Kombe la Dunia