| Swahili
ULIMWENGU
1 dk kusoma
Netanyahu ahairisha ziara yake ya Marekani
Ziara ya Netanyahu nchini Marekani, ilihusisha kukutana na Rais Donald Trump na pia kuhudhuria mazishi ya Seneta Lindsey Graham.
Netanyahu ahairisha ziara yake ya Marekani
Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu./Picha:Reuters

Ziara ya Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu kuelekea nchini Marekani, sasa imeahirishwa.

Katika taarifa yake iliyotolewa Julai 16, 2026, ofisi ya kiongozi huyo, ilisema kuwa ziara hiyo iliyokuwa ifanyike wiki ijayo, imehairishwa mpaka mwisho wa mwezi wa saba.

Ziara ya Netanyahu nchini Marekani, ilihusisha kukutana na Rais Donald Trump na pia kuhudhuria mazishi ya Seneta Lindsey Graham.

"Hivyo basi, waziri mkuu hatosafiri kuelekea nchini Marekani kama ilivyoarifiwa hapo awali," taarifa hiyo ilisema.

Hatua hiyo inakuja wakati ambapo uhusiano wa Marekani na Israel, umeingia dosari kutokana na sera za kikanda.

Katika siku za karibuni, Trump ameitaka Israel ijiondoe kutoka Lebanon na Syria, hatua ambayo imepingwa na Israel.

CHANZO:Anadolu Agency
Soma zaidi
Mahakama Syria yamhukumu kifo Rais wa zamani Bashar al Assad
Zelensky: Urusi inaanda makombora kutoka Korea Kaskazini ili itushambulie
Anayetuhumiwa kumuua Tupac Shakur afikishwa mahakamani
Marekani yathibitisha kuiunga mkono Yemen katika vita dhidi ya Wahouthi
Israel 'yakataa' mpango wa Trump wa vipengele 15 kwa ajili ya Gaza, asema Waziri Mkuu Netanyahu
Mamia wanaandamana nchini Afrika Kusini kupinga ghasia dhidi ya wahamiaji
Israel yafuta vibali vya kuingia nchini kwa wanaharakati wa Marekani wanaowaunga mkono Wapalestina
Mkuu wa Mossad anasemekana kuwafuta kazi maafisa waandamizi kwa kushindwa kuipindua serikali ya Iran
Iran yatishia kushambulia mitambo ya umeme ya nchi za Ghuba iwapo Marekani itashambulia mitambo yake
Nchi 20 za Kiislamu zajadili hatua za pamoja dhidi ya ukiukaji wa Israel katika Msikiti wa Al-Aqsa
Mawaziri wa bara Arabu, Waislamu wakutana Jordan kujadili kwa pamoja Jerusalem Mashariki inayokaliwa
Wahamiaji 70,000 waondoka Hispania huku idadi ya vifo ikiongezeka
Wanafunzi wa Korea Kusini matatani kwa ‘kuvunja’ na kuingia ndani ya kambi ya kijeshi ya Marekani
Wahamiaji wapatao 160 waokolewa baada ya meli yao kuwaka moto
Chama cha soka cha Palestina chaituhumu FIFA kwa kushindwa kuiadhibu Israel
Trump aitaka Iran ichague kati ya makubaliano na kujislamisha
Namna kijana mwenye umri wa miaka 12 mwenye usonji alivyotumia uokaji keki kukabiliana na chuki
Australia yathibitisha vifo vya ndege vinavyotokana na mafua H5
Iran: Hatuna mazungumzo yoyote na Marekani
Mashambulizi ya Israel yaua Wapalestina 12, wakiwemo watoto wawili, huko Gaza