| swahili
AFRIKA
1 DK KUSOMA
Turkish Airline yarejesha safari zake Zambia
Safari za Ndege kwenda Lusaka, Zambia zimeanza na zitakuwa mara mbili kwa wiki kupita Dar es Salam, Tanzania.
Turkish Airline yarejesha safari zake Zambia
Turkish Airlines' "dream plane" in Trabzon / Photo: AA
27 Machi 2023

Kampuni ya ndege Turkish Airlines ya rejesha safari za ndege kwenda Lusaka, Zambia baada ya kusitisha safari zake kwasababu ya ugonjwa wa Uviko 19.

Safari za Ndege kwenda Lusaka, Zambia tayari zmeanza na zitakuwa mara mbili kwa wiki kupita Dar Es Salam, Tanzania imeainisha ripoti ya kampuni hiyo.

Wasafiri wataruhusiwa kununua tiketi za kwenda na kurudi kwa dola za kimarekani $841 ikiwemo kodi na malipo mengine.

Turkish Airlines ni kampuni kubwa ya serikali ya Uturuki ikiwa na ndege 410 zikiwemo 289 safari za kimataifa na 53 safari za ndani.

CHANZO:TRT Afrika
Soma zaidi
UN yaagiza uchunguzi wa dharura ufanyike kuhusu ukiukaji wa sheria katika Al Fasher ya Sudan
Rais wa Tanzania atangaza uchunguzi kuhusu mauaji ya waandamanaji katika uchaguzi
Wakimbizi 57,000 wamewasili kaskazini mwa Sudan baada ya mashambulizi ya RSF huko Darfur, Kordofan
Afrika Kusini yaruhusu kuingia kwa wakimbizi zaidi ya 150 kutoka Gaza, Palestina
Afrika yakumbwa na mlipuko wa kipindupindu mbaya zaidi katika miaka 25
Mataifa ya G7 walaani mashambulizi ya RSF dhidi ya raia Sudan, watoa wito wa kusitishwa mapigano
Wakenya zaidi ya 200 wajiunga na jeshi la Urusi
AU yakanusha tuhuma za Trump kuhusu mauaji ya halaiki Nigeria
Mwigulu Nchemba ateuliwa Waziri Mkuu Tanzania
Jaji Mkenya achaguliwa Mahakama ya Kimataifa ya Haki
Rais Salva Kiir wa Sudan Kusini amfuta kazi makamu wake
Duma wa Botswana aipa India zawadi ya duma 8
Kesi ya Roger Lumbala wa DRC yaanza kusikilizwa
Kesi za ubakaji, watoto kupotea zaripotiwa Darfur, Sudan – Umoja wa Mataifa
Ugonjwa wa Kichaa cha mbwa barani Afrika: Janga linaloendelea kuathiri maisha japo linaepukika
Libya yatakiwa kufunga vituo vya kuwazuilia wahamiaji katika mkutano wa Umoja wa Mataifa
Rais Museveni aonya kuzuka kwa vita endapo nchi za Afrika zitashindwa kufikia Bahari ya Hindi
UN: Milioni 11 wanawake na wasichana wanabeba uzito mkubwa wakati njaa ya Sudan inaendelea kupamba moto
Ethiopia yachagguliwa kuwa mwenyeji wa mkutano wa Umoja wa Mataifa kuhusu hali ya hewa, COP32
Ghana yafichua sababu ya ajali ya helikopta iliyoua watu wanane, wakiwemo mawaziri, mwezi Agosti