UTURUKI
1 dk kusoma
Erdogan, Trump wajadiliana kuhusu Gaza na mahusiano ya nchi zao kwa njia ya simu
Kulingana na rais wa Uturuki, ni muhimu Israel iache mashambulizi yake ili kufanikisha lengo la kupatikana kwa amani ya kikanda.
Erdogan, Trump wajadiliana kuhusu Gaza na mahusiano ya nchi zao kwa njia ya simu
Rais wa Uturuki Erdogan, akiwa na Rais wa Marekani Trump./Picha:Reuters
3 Oktoba 2025

Rais wa Uturuki aRecep Tayyip Erdogan alifanya mazungumzo ya simu na rais wa Marekani Donald Trump siku ya Ijumaa, kufuatia ombi la Washington, kwa mujibu wa Kurugenzi ya Mawasiliano ya Uturuki.

Viongozi hao, walijadiliana uhusiano wa nchi zao na hali halisi ya Gaza.

Erdogan aligusia kuwa, ziara yake ya hivi karibuni nchini Marekani, iliimarisha uhusiano, akisisitizia umuhimu wa kukuza ushirikiano katika nyanja mbalimbali, hususani ulinzi.

Kuhusu suala la Gaza, Erdogan alisema kuwa Uturuki inafanya jitihada ya kukuza amani na utulivu sio katika eneo la Gaza lakini katika ukanda mzima.

Alipongeza jitihada mbalimbali za kimataifa za kufikia lengo hilo, akisema kuwa Uturuki imeongeza kasi yake ya kidiplomasia ili amani ipatikane.

Kulingana na rais huyo wa Uturuki, ni muhimu Israel iache mashambulizi yake ili kufanikisha lengo la kupatikana kwa amani ya kikanda.

 

 

CHANZO:TRT World and Agencies
Soma zaidi
Ujumbe wa Erdogan 'Azerbaijan haiko peke yake' ulipelekea ushindi wa Karabakh: Aliyev
Ushindi wa Karabakh wa Azerbaijan kwa amani ya Caucasus: Rais Erdogan
Uturuki yatoa hati ya kukamatwa kwa Waziri Mkuu wa Israel Netanyahu, juu ya mashtaka ya mauaji
Erdogan: Uturuki kuharakisha miradi ya kiulinzi kuimarisha ‘maslahi’ na washirika wa Ulaya
Uturuki kuandaa mazungumzo ya Gaza wiki ijayo kufuatia wasiwasi juu ya usitishaji mapigano – Fidan
Mfumo wa ulimwengu wa sasa unazingatia nguvu zaidi ya haki: Mkurugenzi wa TRT
Israel imeigeuza Gaza kuwa vifusi, inawezaji kuwa haina hatia: Erdogan
Uturuki yakashifu unafiki wa nchi za Magharibi kuhusu Gaza, yatoa wito wa mfumo mpya wa dunia
Hamas haina nuyklia, Israel iko nayo: Erdogan aitaka Berlin ichukue hatua kali dhidi ya Tel Aviv
Erdogan ataka kuona mabadiliko katika uhusiano na EU na ushirikiano wa kikanda alipokutana na Mertz
Ujerumani yatoa wito wa kuunda “ushirikiano wa kimkakati” ili kukabiliana na changamoto za kimataifa
"Marekebisho ya Ulimwengu": Jukwaa la 9 la TRT World kuanza Istanbul likiangazia majadiliano na haki
Erdogan ametangaza washindi wa Tuzo Kuu za Utamaduni na Sanaa za Urais mwaka 2025
Uturuki yaadhimisha miaka 102 tangu kuanzishwa kwa Jamhuri
Uturuki yatoa wito wa kusitishwa mara moja kwa mapigano katika mji wa Al Fasher, Sudan
Uturuki na Jordan zasaini makubaliano ya kuimarisha uhusiano wa kiuchumi
Erdogan atangaza kukabidhiwa kwa jeshi vifaru vya kwanza  vya Altay vilivyotengenezwa Uturuki
Israel inaishutumu 'Uturuki chini ya utawala wa Erdogan’ kuwa na uhasama mkali dhidi yake
Erdogan na Starmer wasaini mkataba wa ndege za kivita za Eurofighter Typhoon
Erdogan, amkaribisha Waziri Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer, katika Ikulu ya Ankara