| Swahili
ULIMWENGU
1 dk kusoma
Mwanamuziki wa Reggae Cocoa Tea afariki dunia
Cocoa Tea, ambaye amefariki akiwa na umri wa miaka 65, atakumbukwa kwa nyimbo zake maarufu kama vile 18 and Over (Young Lover) na Hurry Up and Come.
00:00
Mwanamuziki wa Reggae Cocoa Tea afariki dunia
Cocoa Tea, ambaye jina lake halisi ni Colvin Scott amefariki kwa mshtuko wa moyo wakati akiwa hospitali siku ya Machi 11, 2025, kulingana na mkewe Malvia Scott./Picha: @DjDaboTrabo / Others

Mwanamuziki nyota wa reggae kutoka Jamaica Cocoa Tea amefariki dunia nchini jijini Florida nchini Marekani.

Cocoa Tea, ambaye jina lake halisi ni Colvin Scott amefariki kwa mshtuko wa moyo wakati akiwa hospitali siku ya Machi 11, 2025, kulingana na mkewe Malvia Scott.

Cocoa Tea, ambaye amefariki akiwa na umri wa miaka 65, atakumbukwa kwa nyimbo zake maarufu kama vile 18 and Over (Young Lover) na Hurry Up and Come.

Akitoa salamu zake za rambirambi, Waziri Mkuu wa Jamaica Andrew Holness, alisema muziki wa Cocoa Tea ulikuwa na ushawishi mkubwa ukivuka mipaka, kugusa mioyo ya watu na kuiweka Jamaica kwenye ramani ya muziki ulimwenguni.

“Mbali na umahiri kwenye muziki, Cocoa Tea alikuwa ni ishara ya ukarimu akiwainua watu wa chini…tunapoendelea kuomboleza kifo chake, ni vyema kuenzi na kufurahia urithi aliotuachia,” aliongeza.

CHANZO:Reuters
Soma zaidi
Mkuu wa Pentagon kutoa ushahidi kwa mara ya kwanza kuhusu vita vya Iran
FIFA kufuta kadi za njano Robo Fainali ya Kombe la Dunia 2026
Ukatili wa Israel katika Ukingo wa Magharibi 'unaniaibisha kama Myahudi': mkuu wa Mossad wa zamani
Marekani inakataa pendekezo la Iran la kutojumuisha suala la nyuklia kwenye mazungumzo
Rais wa Israel atumia njia ndefu kufika Kazakhstan baada ya kutoruhusiwa kutumia anga ya Uturuki
Trump afanya mazungumzo kuhusu mgogoro na Iran
Aliyejaribu kumuua Donald Trump kupandishwa mahakamani
Trump asema tukio la risasi 'halitomzuia' kushinda vita vya Iran
Vita au makubaliano? Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Mkuu wa majeshi wa Pakistan, wajadiliana
Iran kurejesha huduma za usafiri wa ndege
Iran bado haijaamua kuhusu ushiriki wake Kombe la Dunia 2026
"Mimi ndiye niliyeufunga Mlango-Bahari wa Hormuz" - Rais Trump
Pentagon inaonya kwamba uondoaji mabomu katika Mlango Bahari wa Hormuz unaweza kuchukua miezi
Iran haitofungua tena Mlango Bahari wa Hormuz iwapo jeshi la wanamaji la Marekani litaendelea kuwepo
Wabunge wa kimataifa wanakosoa mwitikio wa kimataifa kwa Gaza
Mvutano wa Hormuz waongezeka: Iran yateka meli siku chache baada ya Marekani kukamata meli yao
China imezipongeza nchi za Afrika zilizokataa kuruhusu ndege ya kiongozi wa Taiwan kutumia anga zao
Qatar inaunga mkono kurefusha muda wa usitishaji vita kati ya Marekani na Iran
Iran inakana kutuma ujumbe wowote nchini Pakistan kwa mazungumzo na Marekani
Trump asema Iran ilikiuka usitishaji vita na Marekani 'mara nyingi' kabla ya mazungumzo ya Islamabad