| swahili
AFRIKA
1 dk kusoma
Tovuti za taasisi za serikali ya Kenya zashambuliwa
Mashambulizi hayi yalilenga baadhi ya mashirika ya serikali yanayotoa huduma muhimu.
Tovuti za taasisi za serikali ya Kenya zashambuliwa
Hakuna kundi lolote lililokiri kuhusika na shambulizi hilo la mtandao.
17 Novemba 2025

Tovuti kadhaa za serikali ya Kenya zimeshambuliwa katika wizara kadhaa na mashirika ya serikali, taarifa za vyombo vya habari nchini zilisema.

Imekuwa vigumu kufikia tovuti nyingi, kutokana na kuharibiwa kwa muonekano wa mitandao hiyo, kubadilisha taarifa muhimu kwa kuweka taarfia zisizohitajika,taarifa nchini humo zilisema.

Shambulizi hilo lilitatiza huduma muhimu za serikali, wizara za Afya, Elimu, Ajira, Mazingira , Teknohama, Utalii, Nishati, Maji, na Mambo ya Ndani.

Watumiaji Visitors to the compromised sites encountered defaced pages with the messages “Access denied by PCP” and “We will rise again” among some unauthorised texts on display.

Hakuna aliyekiri kuhusika

Hakuna kundi lililojitokeza kukiri kuhusika na mashambulizi hayo ya mtandaoni. Serikali wala mashirika ya serikali haijatoa taarifa kuhusu shambulizi hilo au wakati gani huduma zitarejea.

Hii siyo mara ya kwanza kwa tovuti za serikali ya Kenya kushambuliwa. Mwezi Julai 2023, mamlaka ziliripoti kuwa mtandao wake wa e-Citizen, unaohusika na kutoa huduma za serikali na masuala ya nyumba kwa raia kuwa data zao muhimu, zilikuwa zimeshambuliwa.

Shambulio hilo lilisababisha huduma za Mamlaka ya Usafiri na Usalama ya Taifa na Shirika la Umeme pamoja na Reli kutatizika.

CHANZO:TRT Afrika Swahili
Soma zaidi
Cape Verde, Mauritius na Ushelisheli wafanikiwa kuangamiza surua na  rubela
Rais wa Sudan Kusini Kiir amrejesha makamu wa rais katika mabadiliko ya baraza la mawaziri
Zaidi ya watu 100,000 wamekimbia makazi yao kutoka Al Fasher ya Sudan tangu kutwaliwa na RSF
Rais wa Tanzania amteua binti na mkwe wake katika Baraza la Mawaziri
Rais Samia amteua waziri mpya wa fedha, awaacha mawaziri wa mambo ya nje na madini madarakani
Mgodi waporomoka DRC na kuua watu wasiopungua 32
Wahamiaji 4 wafariki baada ya boti mbili zilizokuwa zimebeba makumi ya watu kuzama pwani ya Libya
Kikundi cha matabibu kinaripoti visa ya ubakaji wa wasichana wa Al Fasher baada ya RSF kuteka
Mlipuko wa virusi vya Marburg umethibitishwa kusini mwa Ethiopia
DR Congo, M23 wasaini makubaliano ya amani 'ya kihistoria' nchini Qatar
Baraza la Maaskofu Tanzania lataka uwajibikaji kwa waliohusika na mauaji ya waandamanaji
Baraza la usalama la UN laongezea mwaka mmoja ujumbe wa amani wa Abyei
Kiongozi wa zamani wa waasi wa DRC anayeshtakiwa Paris kwa uhalifu wa kivita aanza mgomo wa kula
UN yaagiza uchunguzi wa dharura ufanyike kuhusu ukiukaji wa sheria katika Al Fasher ya Sudan
Rais wa Tanzania atangaza uchunguzi kuhusu mauaji ya waandamanaji katika uchaguzi
Wakimbizi 57,000 wamewasili kaskazini mwa Sudan baada ya mashambulizi ya RSF huko Darfur, Kordofan
Afrika Kusini yaruhusu kuingia kwa wakimbizi zaidi ya 150 kutoka Gaza, Palestina
Afrika yakumbwa na mlipuko wa kipindupindu mbaya zaidi katika miaka 25
Mataifa ya G7 walaani mashambulizi ya RSF dhidi ya raia Sudan, watoa wito wa kusitishwa mapigano
Wakenya zaidi ya 200 wajiunga na jeshi la Urusi