| Swahili
ULIMWENGU
1 dk kusoma
Netanyahu: Vita vya Iran bado havijaisha
Kauli yake, aliyoitoa siku ya Alhamisi, inafuatia mfululilizo wa mashambulizi yaliyofanywa na Marekani dhidi ya Iran, katika kipindi cha siku mbili.
Netanyahu: Vita vya Iran bado havijaisha
Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu./Picha:Reuters / Reuters

Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu ameweka wazi kuwa, vita dhidi ya taifa la Iran bado havijaisha.

Kauli yake, aliyoitoa siku ya Alhamisi, inafuatia mfululilizo wa mashambulizi yaliyofanywa na Marekani dhidi ya Iran, katika kipindi cha siku mbili.

"Vita bado havijaisha, bado kuna changamoto mpya ambazo tunakabaliana nazo,” alisema Netanyahu wakati wa mahafali ya chuo cha anga cha Hatzerim cha nchini Israel.

Iran na Marekani ziliishambuliana siku mbili zilizopita, baada ya Iran kudaiwa kushambulia meli tatu katika Mlango Bahari wa Hormuz.

Kwa upande wake, Mnadhimu Mkuu wa Majeshi wa Israel, Eyal Zamir amesema kuwa kampeni ya kijeshi dhidi ya Iran bado haijamalizika.

 “Bado tuna mipango mipya ambayo tumeiandaa, katika siku zijazo,” alisema.

 

CHANZO:AA
Soma zaidi
Ukraine, Uholanzi zatiliana saini mkataba wa ulinzi wakati wa mkutano wa NATO
Gaza yavunja utawala kabla ya uhamisho wa mamlaka chini ya makubaliano ya kusitisha mapigano
Ufaransa yakumbwa na wizi mwingine mkubwa wa vito vya thamani kutoka jumba la makumbusho
Trump kukutana na Zelenskyy, Sharaa wa Syria wakati wa mkutano wa NATO mjini Ankara
Watu 8 wauawa katika tukio la hivi punde la uhalifu wa  bunduki nchini Marekani.
Maombi yamefanyika kwa ajili ya Khamenei wa Iran katika siku ya pili ya sherehe za mazishi
Sherehe za mazishi ya Ali Khamenei zinaanza nchini Iran huku umati mkubwa ukidai kulipizwa kisasi
Uturuki yakanusha taarifa za kupotosha kuhusu tishio la shambulio wakati wa mkutano wa NATO
Waziri Mkuu wa Moldova ajiuzulu baada ya miezi nane madarakani
Kanisa Katoliki lajitenga na Jumuiya ya Mtakatifu Pius wa 10
Mazungumzo ya nyuklia kati ya Iran na Marekani yamepiga hatua nzuri: Trump
Jinsi urembeshaji wa kitamaduni unavyoweka utambulisho wa Wapalestina hai katika diaspora
Ufaransa yarekodi vifo zaidi ya 1,000 katika siku tano huku wimbi la joto likizidi kupanda
Kisa cha paka Larry na Mawaziri Wakuu wa Uingereza
Huduma za usafirishaji zapungua Mlango Bahari wa Hormuz baada ya mashambulizi ya meli za mizigo
Ajali mbaya ya ndege nchini Ufaransa, uchunguzi waanza
Umoja wa Mataifa unakadiria karibu watu milioni 6.8 waliathiriwa na tetemeko la ardhi la Venezuela
Lebanon, Israel na Marekani watia saini mpango wa makubaliano ya amani
Rais Zelenskyy  wa Ukraine ‘atenga’ siku 40 za kuishambulia Urusi
Klabu ya 1860 Munich ya nchini Ujerumani yaelekea kufilisika