| Swahili
ULIMWENGU
1 dk kusoma
China yapinga vitisho vya kijeshi vya Marekani dhidi ya Cuba
Kulingana na Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya China Lin Jian, Marekani ilikuwa ikiratibu operesheni mbalimbali za kijeshi, ikiwemo kutumia makombora ya masafa marefu dhidi ya Cuba.
China yapinga vitisho vya kijeshi vya Marekani dhidi ya Cuba
Rais Xi Jinping wa China./Picha:Reuters

China imepinga vitisho vya kijeshi vya Marekani, inavyovifanya dhidi ya kisiwa hicho.

Kulingana na Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya China Lin Jian, Marekani ilikuwa ikiratibu operesheni mbalimbali za kijeshi, ikiwemo kutumia makombora ya masafa marefu dhidi ya Cuba.

"Tumepata taarifa hizo. Matumizi ya vitisho vya aina hiyo, ni ukiukwaji mkubwa Mkataba wa Umoja wa Mataifa na unahatarisha usalama na amani ya kikanda," alisema Lin, akiongeza kuwa China inapinga hatua hiyo.

Waziri huyo, aliongeza kuwa China itaendelea kuiunga mkono Cuba, katika kulinda utawala wake na kutokuingiliwa na mataifa ya nje.

 

CHANZO:Anadolu Agency
Soma zaidi
Mahakama Syria yamhukumu kifo Rais wa zamani Bashar al Assad
Zelensky: Urusi inaanda makombora kutoka Korea Kaskazini ili itushambulie
Anayetuhumiwa kumuua Tupac Shakur afikishwa mahakamani
Marekani yathibitisha kuiunga mkono Yemen katika vita dhidi ya Wahouthi
Israel 'yakataa' mpango wa Trump wa vipengele 15 kwa ajili ya Gaza, asema Waziri Mkuu Netanyahu
Mamia wanaandamana nchini Afrika Kusini kupinga ghasia dhidi ya wahamiaji
Israel yafuta vibali vya kuingia nchini kwa wanaharakati wa Marekani wanaowaunga mkono Wapalestina
Mkuu wa Mossad anasemekana kuwafuta kazi maafisa waandamizi kwa kushindwa kuipindua serikali ya Iran
Iran yatishia kushambulia mitambo ya umeme ya nchi za Ghuba iwapo Marekani itashambulia mitambo yake
Nchi 20 za Kiislamu zajadili hatua za pamoja dhidi ya ukiukaji wa Israel katika Msikiti wa Al-Aqsa
Mawaziri wa bara Arabu, Waislamu wakutana Jordan kujadili kwa pamoja Jerusalem Mashariki inayokaliwa
Wahamiaji 70,000 waondoka Hispania huku idadi ya vifo ikiongezeka
Wanafunzi wa Korea Kusini matatani kwa ‘kuvunja’ na kuingia ndani ya kambi ya kijeshi ya Marekani
Wahamiaji wapatao 160 waokolewa baada ya meli yao kuwaka moto
Chama cha soka cha Palestina chaituhumu FIFA kwa kushindwa kuiadhibu Israel
Trump aitaka Iran ichague kati ya makubaliano na kujislamisha
Namna kijana mwenye umri wa miaka 12 mwenye usonji alivyotumia uokaji keki kukabiliana na chuki
Australia yathibitisha vifo vya ndege vinavyotokana na mafua H5
Iran: Hatuna mazungumzo yoyote na Marekani
Mashambulizi ya Israel yaua Wapalestina 12, wakiwemo watoto wawili, huko Gaza