| Swahili
ULIMWENGU
1 dk kusoma
Zelenskyy adai watu wa karibu wa Putin wanataka vita vimalizike
Kiongozi huyo wa Ukraine anadai kuwa Urusi inakabiliwa na uhaba mkubwa wa mafuta kwa kushindwa kumaliza vita
Zelenskyy adai watu wa karibu wa Putin wanataka vita vimalizike
Rais Volodymyr Zelenskyy wa Ukraine./Picha:Reuters

Rais Volodymyr Zelenskyy wa Ukraine amesema kuwa sehemu ya watu wa karibu wa Rais Vladimir Putin wa Urusi wangependa kuona vita kati ya mataifa hayo mawili, inafikia kikomo.

Akizungumza siku ya Ijumaa, Zelenskyy amesema kuwa, kwa sasa Urusi inakabiliwa na uhaba mkubwa wa nishati ya mafuta kutokana na kugoma kumaliza vita hivyo.

 “Tumekuwa na mapendekezo ya namna ya kupata amani, tumeungwa mkono na washirika wetu wengine pamoja na watu wa karibu wa Putin,” alisema kiongozi huyo.

Hata hivyo, Urusi haijatoa tamko lolote kuhusu madai hayo ya Zelenskyy.

CHANZO:AA
Soma zaidi
Ukraine, Uholanzi zatiliana saini mkataba wa ulinzi wakati wa mkutano wa NATO
Gaza yavunja utawala kabla ya uhamisho wa mamlaka chini ya makubaliano ya kusitisha mapigano
Ufaransa yakumbwa na wizi mwingine mkubwa wa vito vya thamani kutoka jumba la makumbusho
Trump kukutana na Zelenskyy, Sharaa wa Syria wakati wa mkutano wa NATO mjini Ankara
Watu 8 wauawa katika tukio la hivi punde la uhalifu wa  bunduki nchini Marekani.
Maombi yamefanyika kwa ajili ya Khamenei wa Iran katika siku ya pili ya sherehe za mazishi
Sherehe za mazishi ya Ali Khamenei zinaanza nchini Iran huku umati mkubwa ukidai kulipizwa kisasi
Uturuki yakanusha taarifa za kupotosha kuhusu tishio la shambulio wakati wa mkutano wa NATO
Waziri Mkuu wa Moldova ajiuzulu baada ya miezi nane madarakani
Kanisa Katoliki lajitenga na Jumuiya ya Mtakatifu Pius wa 10
Mazungumzo ya nyuklia kati ya Iran na Marekani yamepiga hatua nzuri: Trump
Jinsi urembeshaji wa kitamaduni unavyoweka utambulisho wa Wapalestina hai katika diaspora
Ufaransa yarekodi vifo zaidi ya 1,000 katika siku tano huku wimbi la joto likizidi kupanda
Kisa cha paka Larry na Mawaziri Wakuu wa Uingereza
Huduma za usafirishaji zapungua Mlango Bahari wa Hormuz baada ya mashambulizi ya meli za mizigo
Ajali mbaya ya ndege nchini Ufaransa, uchunguzi waanza
Umoja wa Mataifa unakadiria karibu watu milioni 6.8 waliathiriwa na tetemeko la ardhi la Venezuela
Lebanon, Israel na Marekani watia saini mpango wa makubaliano ya amani
Rais Zelenskyy  wa Ukraine ‘atenga’ siku 40 za kuishambulia Urusi
Klabu ya 1860 Munich ya nchini Ujerumani yaelekea kufilisika