| Swahili
ULIMWENGU
1 dk kusoma
Zelenskyy adai watu wa karibu wa Putin wanataka vita vimalizike
Kiongozi huyo wa Ukraine anadai kuwa Urusi inakabiliwa na uhaba mkubwa wa mafuta kwa kushindwa kumaliza vita
Zelenskyy adai watu wa karibu wa Putin wanataka vita vimalizike
Rais Volodymyr Zelenskyy wa Ukraine./Picha:Reuters

Rais Volodymyr Zelenskyy wa Ukraine amesema kuwa sehemu ya watu wa karibu wa Rais Vladimir Putin wa Urusi wangependa kuona vita kati ya mataifa hayo mawili, inafikia kikomo.

Akizungumza siku ya Ijumaa, Zelenskyy amesema kuwa, kwa sasa Urusi inakabiliwa na uhaba mkubwa wa nishati ya mafuta kutokana na kugoma kumaliza vita hivyo.

 “Tumekuwa na mapendekezo ya namna ya kupata amani, tumeungwa mkono na washirika wetu wengine pamoja na watu wa karibu wa Putin,” alisema kiongozi huyo.

Hata hivyo, Urusi haijatoa tamko lolote kuhusu madai hayo ya Zelenskyy.

CHANZO:AA
Soma zaidi
Mahakama Syria yamhukumu kifo Rais wa zamani Bashar al Assad
Zelensky: Urusi inaanda makombora kutoka Korea Kaskazini ili itushambulie
Anayetuhumiwa kumuua Tupac Shakur afikishwa mahakamani
Marekani yathibitisha kuiunga mkono Yemen katika vita dhidi ya Wahouthi
Israel 'yakataa' mpango wa Trump wa vipengele 15 kwa ajili ya Gaza, asema Waziri Mkuu Netanyahu
Mamia wanaandamana nchini Afrika Kusini kupinga ghasia dhidi ya wahamiaji
Israel yafuta vibali vya kuingia nchini kwa wanaharakati wa Marekani wanaowaunga mkono Wapalestina
Mkuu wa Mossad anasemekana kuwafuta kazi maafisa waandamizi kwa kushindwa kuipindua serikali ya Iran
Iran yatishia kushambulia mitambo ya umeme ya nchi za Ghuba iwapo Marekani itashambulia mitambo yake
Nchi 20 za Kiislamu zajadili hatua za pamoja dhidi ya ukiukaji wa Israel katika Msikiti wa Al-Aqsa
Mawaziri wa bara Arabu, Waislamu wakutana Jordan kujadili kwa pamoja Jerusalem Mashariki inayokaliwa
Wahamiaji 70,000 waondoka Hispania huku idadi ya vifo ikiongezeka
Wanafunzi wa Korea Kusini matatani kwa ‘kuvunja’ na kuingia ndani ya kambi ya kijeshi ya Marekani
Wahamiaji wapatao 160 waokolewa baada ya meli yao kuwaka moto
Chama cha soka cha Palestina chaituhumu FIFA kwa kushindwa kuiadhibu Israel
Trump aitaka Iran ichague kati ya makubaliano na kujislamisha
Namna kijana mwenye umri wa miaka 12 mwenye usonji alivyotumia uokaji keki kukabiliana na chuki
Australia yathibitisha vifo vya ndege vinavyotokana na mafua H5
Iran: Hatuna mazungumzo yoyote na Marekani
Mashambulizi ya Israel yaua Wapalestina 12, wakiwemo watoto wawili, huko Gaza