tokea masaa 3
Rais wa Uganda Yoweri Museveni amezindua kampuni ya kwanza ya bima ya Kiislamu nchini humo iitwayo Tamini General Insurance.
Tamini inaendesha mfano wa kusaidiana, kukopa bila riba na kugawana hatari, kwa ushirikiano na benki ya Kiislamu nchini iitwayo Salaam Bank.
Rais Museveni alisema, "Hili si jambo geni, ni njia yetu ya kitamaduni. Kopeni, lakini kopeni kwa ajili ya uzalishaji, si kwa matumizi. Bima hii pia itafikiwa watu wa kipato cha chini, jambo ambalo ni muhimu sana."
ZILIZOPENDEKEZWA












