| Swahili
ULIMWENGU
1 dk kusoma
Viwanja vya ndege vya Italia vyakumbwa na uhaba wa mafuta
Hali kama hiyo ilijitokeza Aprili 2026, ambako kulitokea ucheleweshaji wa mafuta ya ndege, hatua iliyoathiri zaidi uwanja wa ndege wa Bologna.
Viwanja vya ndege vya Italia vyakumbwa na uhaba wa mafuta
Viwanja vilivyoathirika na kadhia hiyo ni pamoja na Bologna Marconi, Milan Linate, Marco Polo na Antonio Canova.

Jumla ya viwanja vya ndege vinne kaskazini mwa Italia, viko kwenye hali ya tahadhari kufuatia uhaba mkubwa wa mafuta ya ndege uliotokana na ucheleweshwaji uliosababishwa na kampuni ya Air BP Italia.

Viwanja vilivyoathirika na kadhia hiyo ni pamoja na Bologna Marconi, Milan Linate, Marco Polo na Antonio Canova.

Hali kama hiyo ilijitokeza Aprili 2026, ambako kulitokea ucheleweshaji wa mafuta ya ndege, hatua iliyoathiri zaidi uwanja wa ndege wa Bologna.

CHANZO:Anadolu Agency