| Swahili
ULIMWENGU
1 dk kusoma
Mahakama ya Marekani yaamuru 'kufurushwa' kwa raia wa Haiti na Syria
Uamuzi wa mahakama hiyo iliyojaa wahafidhina, huenda ukaathiri wanufaika takribani milioni moja wa mradi wa hifadhi wa TPS nchini Marekani.
Mahakama ya Marekani yaamuru 'kufurushwa' kwa raia wa Haiti na Syria
Rais Donald Trump wa Marekani./Picha:Reuters / Reuters

Mahakama Kuu nchini Marekani, imeamuru kutumuliwa kwa raia 350,000 wa Haiti na wengine 6,000 kutoka Syria, ambao kwa sasa wanaishi nchini humo.

Uamuzi wa mahakama hiyo iliyojaa wahafidhina, huenda ukaathiri wanufaika takribani milioni moja wa mradi wa hifadhi wa TPS nchini Marekani.

Kupitia hukumu yake iliyoungwa na majaji wengine watano wenye mrengo kihafidhina, Jaji Samuel Alito, alibainisha kuwa uamuzi wa Idara ya Usalama wa Ndani ya Marekani, haukupaswa kufanyiwa uhakiki wa ziada.

Hata hivyo, Jaji Alito alisisitiza kuwa hukumu haihusiani na uamuzi wa Rais Donald Trump wa Marekani wa kuwanyang’anya raia wa Haiti na Syria hadhi ya TPS.

Kwa upande wao, wanasheria wa raia hao wanaoondolewa nchini Marekani, wamepinga hukumu hiyo, wakidi kuwa mazingira nchini mwao si salama kwa wao kurudi.

CHANZO:AFP
Soma zaidi
Jamhuri ya Czech kupiga marufuku matumizi ya simu mashuleni ifikapo Septemba 2027
Waziri Mkuu wa Uingereza Keir Starmer ajiuzulu
Iran yafunga Hormuz kufuatia 'uhalifu wa Wazayuni', yaonya hatari ya kuvunjika makubaliano ya amani
Vance awafokea Waisrael wanaoukosoa mkataba wa Marekani na Iran
Kisa cha Kombe la Dunia kuibiwa mara mbili
Rais Trump na Rais Pezeshkian wa Iran wasaini makubaliano ya kusitisha vita
Amri ya Israel ya kuwahamisha wakazi nchini Lebanon ni uhalifu wa kivita: Amnesty
Israel yafanya mashambulizi mapya kusini mwa Lebanon licha ya makubaliano ya Marekani na Iran
Waziri wa usalama wa Israel aghairi safari ya Marekani kutokana na ugumu wa kupata viza
Trump asema kuwa “hakuwa anazingatia kubadilisha utawala” nchini Iran
Uturuki inasifu makubaliano ya Marekani na Iran huku Fidan akihimiza kuwa macho dhidi ya waharibifu
Iran “inapaswa kujirekebisha, na haraka,” asema Trump
Trump apanga kuwahamisha raia wa Iran kutoka Marekani hadi Jamhuri ya Afrika ya Kati
Trump amsifu Erdogan wa Uturuki kama ‘rafiki mzuri, na kiongozi mahiri’
Iran yaonya vikosi vya kigeni vilivyo karibu na mipaka yake baada ya kutishwa na Trump
Israel yaanzisha mashambulizi ya anga kote Iran huku vita vya Mashariki ya Kati vikilipuka upya
Pentagon imeongeza kiwango cha tishio la ujasusi la Israel dhidi ya Marekani hadi 'hatari' : ripoti
Shambulio la papa limesababisha kifo cha mtu mmoja katika pwani ya Australia Magharibi
Israel, Netanyahu hawapendwi duniani kulingana na maoni ya watu duniani: utafiti
Iran yasema makombora yako tayari huku vitisho vya Israel dhidi ya Beirut vikiongezeka