| Swahili
ULIMWENGU
1 dk kusoma
Waziri Mkuu wa Pakistan aelekea Saudi Arabia baada ya mazungumzo yake na rais wa Iran
Shehbaz Sharif anatarajiwa kukutana na mwana mfalme wa Saudi Arabia Mohammed bin Salman, kwa majadiliano yahusuyo mgogoro katika eneo la Mashariki ya Kati.
Waziri Mkuu wa Pakistan aelekea Saudi Arabia baada ya mazungumzo yake na rais wa Iran
Kati ya mambo mengine, wawili hao watajadiliana mzozo unaoendelea katika kanda hiyo pamoja na hali ya usalama kwa ujumla./Picha:Wengine

Waziri Mkuu wa Pakistan, Shehbaz Sharif ameelekea Saudi Arabia, siku moja baada ya kuwa na mazungumzo ya simu na rais wa Iran.

Katika ziara hiyo, Sharif atafanya mazungumzo na mwana mfalme wa Saudi Arabia, Mohammed bin Salman.

Kati ya mambo mengine, wawili hao watajadiliana mzozo unaoendelea katika kanda hiyo pamoja na hali ya usalama kwa ujumla.

Ziara hiyo inakuja siku moja baada ya Sharif kufanya mazungumzo ya simu na Rais Masoud Pezeshkian wa Iran, ambaye alimueleza waziri mkuu wa Pakistan, kuwa njia pekee ya kumaliza mashambulizi ya Marekani-Israel dhidi ya Iran ni kupitia kutambua haki za msingi za Iran.

Septemba mwaka jana, Pakistan na Saudi Arabia zilitiliana saini mkataba wa ulinzi.

CHANZO:AA
Soma zaidi
Iran inakana kutuma ujumbe wowote nchini Pakistan kwa mazungumzo na Marekani
Trump asema Iran ilikiuka usitishaji vita na Marekani 'mara nyingi' kabla ya mazungumzo ya Islamabad
Mchina akamatwa akiwa anapiga picha ndege za kijeshi za Marekani
Kesi ya Netanyahu yaahirishwa kwa sababu za kiusalama
Israel yathibitisha mwanajeshi wake kuharibu sanamu ya Yesu kwa kutumia nyundo
Iran ‘yanyonga’ Waisrael wawili kwa kuhusika na mtandao wa kijasusi wa Israel
Mkuu wa Mji wa Tel Aviv afichua zaidi ya nyumba 1,000 haziwezi kukaliwa kutokana na vita vya Iran
Trump asema Marekani itatwaa urani ya Iran nyumbani kwa kutumia 'mashine kubwa za uchimbaji'
Makombora ya Urusi yashambulia Ukraine na kuua watu 16
Iran yapendekeza miaka 5 ya kusitisha urutubishaji wa Uranium huku Marekani ikishinikiza miaka 20
Meli ya China iliowekewa vikwazo na Marekani yapita Mlango Bahari wa Hormuz
Zaidi ya theluthi moja ya miundombinu ya nishati Mashariki ya Kati imeathiriwa na vita vya Iran
Gazeti la Uingereza la The Daily Telegraph lafuta habari isiyo sahihi kuhusu Erdogan
Trump afikiria kuishambulia upya Iran baada ya mazungumzo ya amani ya Islamabad kushindikana-ripoti
Trump aagiza jeshi la Marekani kukamata meli yoyote inayolipa kuvuka mlango bahari wa Hormuz
Takriban watu 30 wamefariki katika mkanyagano kwenye ngome ya kihistoria ya Laferriere nchini Haiti
Hakuna makubaliano ya Marekani-Iran baada ya mazungumzo ya saa 21 nchini Pakistan, asema Vance
Marekani yakubali kuachilia mali ya Iran iliyozuiliwa ili kuendeleza mazungumzo ya Islamabad
Makamu wa Rais Vance awasili Pakistan kuanza mazungumzo muhimu ya Marekani na Iran
Korea Kaskazini, China zakutana, kukuza ushirikiano wa kimkakati