| Swahili
AFRIKA
1 dk kusoma
Trump: Helikopta ya Jeshi la Marekani imedunguliwa na Iran, tutalipiza kisasi
Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema kuwa marubani wako salama baada ya helikopta ya Marekani kudunguliwa na Iran karibu na Mlango-Bahari wa Hormuz.
Trump: Helikopta ya Jeshi la Marekani imedunguliwa na Iran, tutalipiza kisasi
Rais wa Marekani, Donald amesema nchi yake italipiza kisasi baada ya Iran kudungua helikopta ya Jeshi la Marekani. / / Reuters

Rais wa Marekani, Donald amesema amepata taarifa ya kuwa ni Iran ndio walioangusha helikopta ya Marekani katika Mlango-Bahari wa Hormuz.

"Nimejulishwa hivi punde na Jeshi letu kwamba jana usiku Wairani wamedungua moja ya helikopta zetu za kisasa aina ya Apache wakati ikifanya doria juu ya Mlango-Bahari wa Hormuz. Kulikuwa na marubani wawili ndani yake, na wote wako salama bila majeraha yoyote. Hata hivyo, Marekani inalazimika kujibu shambulio hili", Rais Trump amesema kupitia mtandao wake wa kijamii wa Truth Social.

Tukio hili limetokea saa chache tu baada ya Iran na Israel kushambuliana siku ya Jumatatu, na hivyo kuhatarisha mazungumzo ya kuimarisha usitishaji mapigano ulioyumba.

CHANZO:TRT Afrika
Soma zaidi
Mo Dewji tayari kuwekeza Dola 100M katika kiwanda cha kusafisha mafuta cha Dangote nchini Kenya
Sudan yaweka sharti la kuondolewa na kupokonywa silaha kwa RSF ili kukubali mpango wa amani
Miaka 15 ya Sudan Kusini na Uchaguzi Mkuu unaosuburiwa kwa hamu
Waandamanaji nchini Afrika Kusini wanavamia nyumba hadi nyumba kuwasaka wahamiaji
Morocco yaahidi kujiimarisha zaidi baada ya kutolewa Kombe la Dunia
Benki ya Dunia: Wakenya milioni 2.4 wako hatarini kutumbukia kwenye umaskini
Aliyekuwa Kiongozi Mkuu wa Iran, Ali Khamenei azikwa, huku waombolezaji waapa kulipiza kisasi
Urusi kuisaidia Msumbiji kupambana na ugaidi
Tanzania: Watu 130 wakamatwa kwa kuhamasisha vitendo vya kihalifu
Marekani yashambulia daraja muhimu la reli linalounganisha Iran, China na Urusi
Morocco iko imara kuliko Paraguay: Kocha wa Ufaransa Deschamps
Vifo vya Ebola vyafikia 600 nchini DRC huku maambukizi yakiripotiwa katika jimbo jipya
CCM na ACT-Wazalendo wamaliza mgogoro wa kisiasa Zanzibar
Somalia yapongeza upatanishi wa Uturuki baada ya upinzani kukubali mazungumzo ya katiba
Iran yaionya Marekani baada ya mashambulizi mapya, yasema ni Iran pekee itakayoamua hatima ya Hormuz
Tanzania yanunua zaidi ya tani 28 za dhahabu ili kuongeza akiba ya fedha za kigeni
Vita vya Sudan: Watu 10 wameuawa katika shambulio la droni kwenye sherehe ya harusi
Wafanyakazi wa afya nchini DR Congo wagoma huku vifo vya Ebola vikikaribia 600
Polisi na jeshi la Afrika Kusini wawakamata zaidi ya wachimbaji madini haramu 200
Rais Mnangagwa apitisha sheria ya kumuongezea muda wa kukaa madarakani