| Swahili
UTURUKI
1 dk kusoma
Shirika la ndege la Uturuki lapata Afisa Mtendaji Mkuu mpya
Shirika hilo limemteua Murat Seker kama mwenyekiti wa bodi wa shirika hilo, huku Ahmet Olmustur akichukua nafasi ya Afisa Mtendaji Mkuu.
Shirika la ndege la Uturuki lapata Afisa Mtendaji Mkuu mpya
Shirika la ndege la Uturuki./Picha:@TurkishAirlines

Murat Seker ameteuliwa kama mwenyekiti mpya wa bodi ya shirika hilo la ndege na kamati yake ya utendaji, wakati Ahmet Olmuştur alichaguliwa kama Afisa Mtendaji Mkuu wa shirika hilo.

Hatua hiyo inakuja baada kikao cha bodi ya shirika hilo la ndege kutangaziwa kuwa mwenyekiti aliye madarakani  Ahmet Bolat na Afisa Mtendaji Mkuu Bilal Eksi, wanastaafu.

Kabla ya uteuzi huo, Olmustur alikuwa akihudumu kam afisa mkuu wa biashara wa shirika hilo huku Murat Seker akishikilia nafasi ya Naibu Meneja Mkuu wa shirika la ndege la Uturuki, kuanzia mwaka 2016.

Soma zaidi
Rais Erdogan wa Uturuki amlaki Waziri Mkuu wa Sudan jijini Ankara
Rais Erdogan amwambia von der Leyen kuwa mvutano wa kikanda unahitaji uhusiano wa Uturuki na EU
Waturuki walio diaspora ni muhimu kwa ushawishi unaokua wa Uturuki duniani, anasema balozi
Uchokozi' wa Israel lazima ukomeshwe kwa amani ya Mashariki ya Kati: Rais wa Uturuki Erdogan
Erdogan atoa wito wa ushirikiano kati ya nchi za Turkic katika ulinzi, AI na usalama wa mtandao
Marais wa Uturuki na Uzbekistan wajadili ushirikiano wa ulinzi na biashara mjini Turkistan
Rais Erdogan, aisifia Ukanda wa Kati kuwa ‘Barabara ya Silki ya kisasa’ katika ziara yake Kazakhstan
Rais wa Uturuki apewa mapokezi makubwa Kazakhstan
Uturuki yapinga madai “yasiyo na msingi kabisa” ya kuingilia siasa za Somalia
Rais wa Uturuki aelekea Kazakhstan kuhudhuria mkutano wa viongozi wa nchi za Turkic
Uturuki yakana madai ya kuingilia siasa za ndani za Somalia
Uturuki iko tayari kuanzisha mazungumzo ya moja kwa moja na Armenia: afisa
Marekani na Iran zinaonyesha “nia” ya kusitisha vita, amesema Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki
Erdogan: Uturuki ililinda mnyororo wa usambazaji wa chakula licha ya migogoro ya kimataifa
Rais Erdogan: Mabadiliko ya dunia yaonesha umuhimu wa uhusiano wa karibu kati ya Uturuki na EU
FC Galatasaray yashinda taji la 26 la ligi kuu ya Uturuki na kuongeza ubingwa wao
Rais Erdogan athibitisha uungaji mkono wa Uturuki kwa usalama wa UAE
Makampuni ya ulinzi ya Uturuki yasaini mikataba ya mauzo ya nje ya karibu Dola bilioni 8
Uturuki inalenga soko la dunia la ulinzi kwa zana zake za kivita za teknolojia ya juu
Uturuki, Saudi Arabia wafanya mazungumzo ya ngazi ya juu Ankara, wajadili uhusiano, masuala ya kanda