tokea masaa 5
Murat Seker ameteuliwa kama mwenyekiti mpya wa bodi ya shirika hilo la ndege na kamati yake ya utendaji, wakati Ahmet Olmuştur alichaguliwa kama Afisa Mtendaji Mkuu wa shirika hilo.
Hatua hiyo inakuja baada kikao cha bodi ya shirika hilo la ndege kutangaziwa kuwa mwenyekiti aliye madarakani Ahmet Bolat na Afisa Mtendaji Mkuu Bilal Eksi, wanastaafu.
ZILIZOPENDEKEZWA
Kabla ya uteuzi huo, Olmustur alikuwa akihudumu kam afisa mkuu wa biashara wa shirika hilo huku Murat Seker akishikilia nafasi ya Naibu Meneja Mkuu wa shirika la ndege la Uturuki, kuanzia mwaka 2016.

















