Mlango huo wa bahari ni mojawapo ya njia muhimu zaidi za usafirishaji wa mafuta duniani, huku mgogoro wa Marekani na Iran ukiwa bado unaendelea.
Wachambuzi wamelitafsiri tukio hilo kama ujumbe wa kisiasa au wa kuamsha mjadala, unaoendana na mtindo wa Trump wa kutumia kauli zenye mvuto mkubwa wakati wa hali za mvutano wa kisiasa.
Hii si mara ya kwanza Trump kwa kutoa kauli kama hiyo. Katika taarifa ya awali, alionekana kuchanganya jina hilo, akisema Iran inahitaji "kufungua Mlango wa Trump, hapo hapo akaghairi na kusema kuwa alimaanisha Hormuz."
ZILIZOPENDEKEZWA
CHANZO:TRT Afrika











