Iran imerusha mamia ya makombora ya balestiki dhidi ya Israel katika kile ilichoeleza kuwa ni "jibu linalofaa" kwa mashambulizi ya hivi karibuni ya Israel.
Mashambulizi hayo yalisababisha hasara na uharibifu mkubwa katika mji wa Tel Aviv na maeneo mengine, huku Israel ikilipiza kisasi kwa mashambulizi ndani kabisa ya ardhi ya Iran.
Baadhi ya Waisraeli 300 huko Tel Aviv walikimbia makazi yao, huku wengine 100 wakihamishwa katika manispaa ya Ramat Gan kulingana na Channel 12.
Roketi za Iran ziliharibu kabisa majengo tisa na kuharibu mamia ya vyumba na magari huko Ramat Gan, kulingana na gazeti la kila siku la Haaretz.
Hizi hapa ni baadhi ya picha zinazonasa mitaa na anga za Israeli wakati wa mashambulizi ya Irani.
ZILIZOPENDEKEZWA
CHANZO:TRT Afrika and agencies









