| Swahili
ULIMWENGU
1 dk kusoma
Marco Rubio: Tutahakikisha Ebola haifiki Marekani
Kauli ya Rubio inakuja wakati Marekani imesitisha utoaji viza kwa raia wanaotokea Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo(DRC) kwa hofu ya ugonjwa wa Ebola.
Marco Rubio: Tutahakikisha Ebola haifiki Marekani
Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Marco Rubio./Picha:Reuters / Reuters

Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Marco Rubio, amesema kuwa serikali ya nchi hiyo itahakikisha kuwa ugonjwa wa Ebola hauingii nchini Marekani.

“Kwa bahati mbaya Shirika la Afya Duniani halijafanya jitahada za kutosha kuzuia kuenea kwa ugonjwa huo hadi kufikia sasa kama walivyoshindwa wakati wa UVIKO 19,” alisema Rubio siku ya Alhamisi.

Kauli ya Rubio inakuja wakati Marekani imesitisha utoaji viza kwa raia wanaotokea Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo(DRC) kwa hofu ya ugonjwa wa Ebola.

Pia, inakuja wakati dadi ya vifo vilivyotokana na ugonjwa huo, ikifikia 139 kulingana na Shirika la Afya Duniani (WHO).

CHANZO:AA
Soma zaidi
Marekani na Israel zilipanga kumuweka madarakani rais wa zamani wa nchi hiyo Ahmadinejad
Urusi na China zaimarisha ushirikiano kwa kusaini mikataba 20 ikiwemo ya uchumi, nishati na biashara
Mahakama ya ICC yatoa hati ya kukamatwa kwa Waziri wa Fedha wa Israel
Iran yatangaza bodi mpya ya kusimamia Mlango Bahari wa Hormuz
Marekani na Nigeria zafanya mashambulizi ya pamoja dhidi ya magaidi
Mahakama ya ICC imeripotiwa kutoa hati za siri za kukamatwa kwa maafisa watano wa Israel
Mkutano wa Trump-Xi: Mambo makuu yanayotokana na saa 9 ya mazungumzo ya makubwa nchini China
Israel, Lebanon wakubali kuongeza muda wa usitishaji mapigano kwa siku 45: Marekani
FBI yatoa zawadi ya Dola 200,000 kumsaka afisa wa Zamani wa Marekani anayetuhumiwa kujiunga na Iran
Kansela wa Ujerumani Friedrich Merz azomewa baada ya kuzinadi sera za serikali
Droni za Ukraine zaua 4 Urusi
Rais wa China asema hatoipatia Iran silaha: Trump
Xi na Trump wakubaliana kwamba ‘Mlango-Bahari wa Hormuz lazima ubaki wazi - Ikulu ya White House
Wapalestina kufanya uchaguzi wa rais na wabunge
Hamas haipaswi kuondoka kisiasa: Balozi wa Bodi ya Amani
Netanyahu amezuru UAE na kukutana na Rais wa nchi hiyo kwa siri wakati wa vita vya Iran
Rais Trump wa Marekani awasili Beijing kwa mazungumzo muhimu na Rais Xi wa China
Taarifa za kijasusi za Marekani zaonyesha kuwa Iran bado ina uwezo mkubwa wa kurusha makombora
Pentagon yasema vita vya Marekani dhidi ya Iran vimegharimu Dola bilioni 29 hadi sasa
Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki aonya dhidi ya kutumia Mlango wa Hormuz kama “silaha”