| Swahili
ULIMWENGU
1 dk kusoma
Kombora la Urusi laua 3 Mashariki mwa Ukraine
Hata hivyo, Urusi haijatoa tamko lolote kuhusiana na shambulio hilo, licha ya kusisitiza kuwa majeshi yake hayalengi raia wa kawaida.
Kombora la Urusi laua 3 Mashariki mwa Ukraine
Basi hilo lilikuwa karibu na kijiji cha Nova Oleksandrivka wakati liliposhambuliwa na kombora hilo./Picha:Wengine

Shambulizi lililofanywa na Urusi siku ya ijumaa, limeua watu watatu waliokuwemo ndani ya basi, katika mji wa Kupiansk.

Eneo kubwa la Kharkiv, lililo mpakani mwa na Urusi, lilichukuliwa na majeshi ya Urusi mwezi Februari 2022, kabla ya kuja kukombolewa na Ukraine, miezi michache baadaye.

"Watu watatu waliuawa kufuatia shambulio hilo, dereva wa basi pamoja na abiria wake wawili," walisema wachunguzi wa tukio hilo.

Basi hilo lilikuwa karibu na kijiji cha Nova Oleksandrivka wakati liliposhambuliwa na kombora hilo.

Hata hivyo, Urusi haijatoa tamko lolote kuhusiana na shambulio hilo, licha ya kusisitiza kuwa majeshi yake hayalengi raia wa kawaida.

Mazungumzo ya amani yanayongozwa na Marekani kwa lengo la kumaliza miaka minne ya mapigano kati ya nchi hizo mbili, yameathiriwa na mashambulizi ya Marekani-Israel dhidi ya Iran.

CHANZO:AFP
Soma zaidi
Iran inakana kutuma ujumbe wowote nchini Pakistan kwa mazungumzo na Marekani
Trump asema Iran ilikiuka usitishaji vita na Marekani 'mara nyingi' kabla ya mazungumzo ya Islamabad
Mchina akamatwa akiwa anapiga picha ndege za kijeshi za Marekani
Kesi ya Netanyahu yaahirishwa kwa sababu za kiusalama
Israel yathibitisha mwanajeshi wake kuharibu sanamu ya Yesu kwa kutumia nyundo
Iran ‘yanyonga’ Waisrael wawili kwa kuhusika na mtandao wa kijasusi wa Israel
Mkuu wa Mji wa Tel Aviv afichua zaidi ya nyumba 1,000 haziwezi kukaliwa kutokana na vita vya Iran
Trump asema Marekani itatwaa urani ya Iran nyumbani kwa kutumia 'mashine kubwa za uchimbaji'
Makombora ya Urusi yashambulia Ukraine na kuua watu 16
Iran yapendekeza miaka 5 ya kusitisha urutubishaji wa Uranium huku Marekani ikishinikiza miaka 20
Meli ya China iliowekewa vikwazo na Marekani yapita Mlango Bahari wa Hormuz
Zaidi ya theluthi moja ya miundombinu ya nishati Mashariki ya Kati imeathiriwa na vita vya Iran
Gazeti la Uingereza la The Daily Telegraph lafuta habari isiyo sahihi kuhusu Erdogan
Trump afikiria kuishambulia upya Iran baada ya mazungumzo ya amani ya Islamabad kushindikana-ripoti
Trump aagiza jeshi la Marekani kukamata meli yoyote inayolipa kuvuka mlango bahari wa Hormuz
Takriban watu 30 wamefariki katika mkanyagano kwenye ngome ya kihistoria ya Laferriere nchini Haiti
Hakuna makubaliano ya Marekani-Iran baada ya mazungumzo ya saa 21 nchini Pakistan, asema Vance
Marekani yakubali kuachilia mali ya Iran iliyozuiliwa ili kuendeleza mazungumzo ya Islamabad
Makamu wa Rais Vance awasili Pakistan kuanza mazungumzo muhimu ya Marekani na Iran
Korea Kaskazini, China zakutana, kukuza ushirikiano wa kimkakati