| swahili
AFRIKA
1 dk kusoma
Rais Ruto atangaza siku saba za maombolezo ya kitaifa kwa ajili ya Waziri Mkuu wa zamani Raila
Salamu za rambirambi zinaendelea kutumwwa kutoka kwa viongozi wa Afrika na duniani kote kufuatia tangazo la kifo la Raida Odinga.
Rais Ruto atangaza siku saba za maombolezo ya kitaifa kwa ajili ya Waziri Mkuu wa zamani Raila
Odinga, mwenye umri wa miaka 80, aliripotiwa kuanguka ghafla wakati wa matembezi ya asubuhi katika kituo cha tiba cha Ayurvedic kilichoko, India.
15 Oktoba 2025

Rais wa Kenya, William Ruto, ametangaza siku saba za maombolezo ya kitaifa kufuatia kifo cha kiongozi wa upinzani na Waziri Mkuu wa zamani, Raila Odinga, na kusema kwamba Odinga atapewa mazishi ya heshima za kitaifa.

Odinga, mwenye umri wa miaka 80, aliripotiwa kuanguka ghafla wakati wa matembezi ya asubuhi ndani ya eneo la kituo cha tiba cha Ayurvedic kilichoko Koothattukulam, India, na baadaye alipelekwa hospitalini ambapo alitangazwa kufariki dunia saa 3:52 asubuhi kwa saa za Kenya.

Katika hotuba yake ya kitaifa Jumatano, Rais Ruto alimpongeza Odinga kwa kusema alikuwa "kiongozi jasiri" na mwanafalsafa wa siasa aliyekuwa na ushawishi mkubwa katika siasa za Kenya kwa miongo kadhaa.

“Kuheshimu mchango wa kipekee wa mheshimiwa Raila Odinga kwa taifa letu, nimetangaza kipindi cha maombolezo ya kitaifa cha siku saba ambacho bendera ya kitaifa itashushwa nusu mlingoti kote nchini Kenya na katika ofisi zetu zote za nje ya nchi,” alisema Ruto.

InayohusianaTRT Afrika - Afrika yamuomboleza waziri mkuu wa zamani wa Kenya Raila Odinga

CHANZO:TRT Afrika
Soma zaidi
Rais Museveni aonya kuzuka kwa vita endapo nchi za Afrika zitashindwa kufikia Bahari ya Hindi
UN: Milioni 11 wanawake na wasichana wanabeba uzito mkubwa wakati njaa ya Sudan inaendelea kupamba moto
Ethiopia yachagguliwa kuwa mwenyeji wa mkutano wa Umoja wa Mataifa kuhusu hali ya hewa, COP32
Ghana yafichua sababu ya ajali ya helikopta iliyoua watu wanane, wakiwemo mawaziri, mwezi Agosti
Nigeria yaanzisha uchunguzi baada ya kukamata kilo 1,000 za kokeini yenye thamani ya $235M
Kenya kuanzisha balozi zake mpya Vatican City, Denmark na Vietnam
Mtoto wa Gaddafi aachiliwa huru baada ya miaka kumi gerezani
Kuanzia vifo vya taratibu hadi mauaji ya ukatili: Kutoweka kwa utu Al Fasher
Zaidi ya mataifa 20 yanalaani ukatili wa RSF nchini Sudan, na kutaka kukomeshwa kwa ghasia
Rais wa Misri, afisa mkuu wa usalama wa Urusi kujadili ushirikiano wa kijeshi
Maelfu ya wananchi wanashikiliwa katika hali mbaya sana katika Al Fasher, Sudan: madaktari
Makamu wa Rais wa Marekani JD Vance aghairi ziara iliyopangwa nchini Kenya
‘Mauaji ya waandamanaji ni chukizo mbele za Mungu’
Jeshi la Sudan lazima shambulio la RSF katika mji wa Babnousa huko Kordofan Magharibi
Majeshi ya Somalia yawaua viongozi watatu wakuu wa Al Shabaab
Rwanda, DRC zaanzisha mfumo wa ushirikiano wa kiuchumi huku kukiwa na mazungumzo ya amani
RSF yazika miili katika makaburi ya halaiki, inachoma wengine ili 'kuficha ushahidi wa mauaji
Wananchi katika Al Fasher, Sudan, wanakabiliwa na ukatili 'wa kiwango kisichoweza kuaminika' — UN
Chama tawala nchini Djibouti kimemteua Rais Guelleh kwa muhula wa sita
Amaan Golugwa akamatwa huku polisi Tanzania ikiwasaka viongozi wa upinzani kufuatia maandamano