| Swahili
AFRIKA
1 dk kusoma
Rais wa Madagascar Randrianirina amfuta kazi waziri mkuu, baraza la mawaziri
Rais wa Madagascar Michael Randrianirina, ambaye aliingia madarakani kufuatia maandamano ya siku kadhaa Oktoba 2025, amemfuta kazi waziri mkuu na baraza zima la mawaziri.
Rais wa Madagascar Randrianirina amfuta kazi waziri mkuu, baraza la mawaziri
Michael Randrianirina aliingia madarakani kama rais wa Madagascar Oktoba 2025. / Reuters
9 Machi 2026

Rais wa Madagascar Michael Randrianirina, ambaye aliingia madarakani kufuatia maandamano ya siku kadhaa Oktoba 2025, amemfuta kazi waziri mkuu na baraza lote la mawaziri siku ya Jumatatu, msemaji wake alisema katika taarifa.

Randrianirina alichukua uongozi wa taifa hilo la visiwa vya Bahari Hindi kufuatia maandamano yaliyomfanya mtangulizi wake, Andry Rajoelina kuondoka madarakani.

"Hivi karibuni Rais atamteua waziri mkuu mpya, kufuatia utaratibu uliowekwa kulingana na katiba," Harry Laurent Rahajason, mkurugenzi wa mawasiliano katika ofisi ya Rais, alsiema katika taarifa, bila kueleza sababu ya hatua hiyo ya rais.

CHANZO:TRT Afrika
Soma zaidi
Mwakilishi Maalumu wa Jumuiya ya Madola Lazarus Chakwera ahitimisha ziara yake nchini Tanzania
Kenya yaomba msaada wa haraka kutoka Benki ya Dunia huku ikipunguza VAT
Wadau wajadili fursa za uwekezaji katika Kongamano la Biashara linaloendelea Kigoma, Tanzania
Mbunge Tanzania ataka sekta binafsi iruhusiwe uzalishaji wa nishati ya umeme
Kampuni ya BP yashtakiwa Kenya kufuatia madai ya uchafuzi mazingira kutokana na uchimbaji mafuta
Mashirika ya ndege ya Nigeria yatishia kusitisha huduma kuanzia Aprili 20 kutokana na bei ya mafuta
Somalia yashtumu uteuzi wa balozi wa Israel katika eneo lililojitenga la Somaliland
Uganda inasema inahitaji zaidi ya Dola bilioni moja kusambaza umeme nchini kote
Afrika Kusini yampa kifungo cha miaka mitano jela Julius Malema kwa kufyatua risasi
DRC inaanzisha hifadhi ya kimkakati ya kobalti na madini mengine
Afrika Kusini yamkamata mwanaharakati wa Benin Kemi Seba kwa tuhuma za uchochezi
Burkina Faso yafuta takriban asasi 100 za kiraia
Rais wa Cameroon anasema dunia inahitaji 'ujumbe wa amani' wa Papa
Jeshi la Tanzania latangaza nafasi ajira
Raia wa China ahukumiwa jela kwa kusafrisha mchwa kutoka Kenya kinyume cha sheria
Iran yatishia kuzuia usafiri wa meli katika Bahari ya Shamu ikiwa vikwazo vya Marekani vitaendelea
Marie-Louise Eta: Mwanamama aliyepewa mikoba Bundesliga
Mamia wajitokeza Afrika Kusini kabla ya hukumu ya kifungo cha mwanasiasa Malema
Wasichana ndio waathirika wakubwa zaidi katika vita vilivyosahaulika vya Sudan
Bei ya mafuta yapanda Kenya huku usambazaji ukisuasua