| Swahili
MICHEZO
1 dk kusoma
DRC yaaga Kombe la Dunia baada ya kufungwa na England
Mwisho wa safari! Timu ya taifa ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) imeaga Kombe la Dunia baada ya kupoteza 2-1 dhidi ya England.
DRC yaaga Kombe la Dunia baada ya kufungwa na England
DRC imeshiriki kwenye michuano ya Komble la Dunia mara mbili, mara ya kwanza ikiwa mwaka 1974. / / Reuters

Mshambuliaji wa England, Harry Kane, alifunga mabao mawili katika dakika za mwisho na kuiongoza timu yake kupata ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), na hivyo kuitoa kwenye Kombe la Dunia 2026 katika hatua ya mtoano ya timu 32 bora.

Mechi hio iliochezwa Jumatano jijini Atlanta, Marekani, ilianza kwa kasi huku DRC ikitangulia kufunga kupitia bao la Brian Cipenga aliyetikisa nyavu katika dakika ya saba.

Kwa ushindi huo, England imefuzu hatua ya 16 bora, ambapo itakutana na Mexico katika mechi itakayochezwa Jumapili jijini Mexico City.

CHANZO:TRT Afrika
Soma zaidi
Kocha Bubista aipongeza timu ya Cabo Verde 'isiyo na woga' baada ya kufuzu awamu ya mchujo
Timu ya Cabo Verde ya Kombe la Dunia 'inawakilisha Afrika'
Bao la dakika za mwisho liliigharimu Côte d'Ivoire katika kupoteza 1-2 dhidi ya Ujerumani
Paraguay yaipiga Uturuki 1-0, na kuthibitisha uongozi wa Marekani katika Kundi D
Kombe la Dunia: Algeria imelalamikia FIFA kuhusu rafu ya Messi kumkanyaga mchezaji wao
DRC unyo kwa unyo na Ureno kutoka sare 1-1 katika Kombe la Dunia
Nigeria, Cameroon, Zambia: Vigogo wa Afrika waliokosa Kombe la Dunia 2026
Bado bao moja tu kwa Lionel Messi kuweka historia
Tunisia yamteua kocha Herve Renard baada ya kipigo cha Sweden
Nestory Irankunda: Mrundi anayeibeba Australia katika kampeni yake ya Kombe la Dunia 2026
Tunisia imemtimua kocha mkuu Lamouchi baada ya kufedheheshwa katika Kombe la Dunia
Cabo Verde, katika michuano yao ya kwanza kabisa ya Kombe la Dunia, waliwabana Hispania sare: 0-0
Wairan wenye uraia wa Marekani wagawanyika katika Kombe la Dunia
Côte d'Ivoire yaifunga Ecuador 1-0 katika mechi yao ya kwanza
Australia yaipiga Uturuki 2-0 katika Kombe la Dunia Kundi D
Kombe la Dunia 2026: Kocha wa Morocco Ouahbi anatarajia kutinga fainali baada ya sare na Brazil
New York Knicks wavunja mkosi wa nusu karne kutwaa tena Ubingwa wa NBA
Kombe la Dunia 2026 : Morocco kuvaana na Brazil katika mechi yao ya ufunguzi
Dembele, Guler, Mbappe, Messi, Ronaldo, Salah..... Nyota 15 watakaonogesha Kombe la Dunia la 202
Iran yaishutumu Marekani kwa 'ubaguzi ' kufuatia kukataliwa kwa viza za Kombe la Dunia kwa maafisa