| Swahili
UTURUKI
1 dk kusoma
Rais wa Uturuki aelekea Ethiopia kwa ziara ya kikazi
Erdogan anaelekea Ethiopia ambako atakuwa na majadiliano huku uhusiano wa mataifa hayo mawili, kusainiwa kwa mikataba na mkutano wa pamoja na wanahabari.
Rais wa Uturuki aelekea Ethiopia kwa ziara ya kikazi
Erdogan alisindikizwa katika uwanja wa ndege wa Ataturk./Picha:AA
tokea masaa 15

Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan ameelekea nchini Ethiopia kwa ziara ya kikazi.

Erdogan alisindikizwa katika uwanja wa ndege wa Ataturk na Gavana wa Istanbul Davut Gul, Mwenyekiti wa chama cha AK jijini Istanbul Abdullah Ozdemir, na maofisa wengine.

Wakati wa ziara yake, Erdogan atafanya mazungumzo ya ana kwa ana na Waziri Mkuu wa Ethiopia, Abiy Ahmed.

Mbali na vikao hivyo, Erdogan anatarajiwa kuhudhuria hafla ya utiaji saini mikataba mbalimbali pamoja na mkutano wa pamoja na waandishi wa habari.

CHANZO:AA
Soma zaidi
Uturuki inapanua utaalam wa reli, kutoa mafunzo kwa wafanyakazi Afrika, Asia
Erdogan: Uturuki inaendelea kutafuta amani ya kanda licha hofu iliyopo ulimwenguni
Rais wa Uturuki ateuwa Waziri mpya wa Katiba na Mambo ya Ndani katika mabadiliko ya Baraza la Mawazi
Fidan wa Uturuki akataa mashambulizi ya anga kama njia ya kubadilisha uongozi wa Iran
Makamu wa Rais wa Uturuki akutana na balozi wa Brazil
Idadi ya watu nchini Uturuki yafikia milioni 86 kwa mwaka 2025
Uturuki yalaani shambulizi la RSF nchini Sudan
Matetemeko ya ardhi ya Uturuki 2023 yalisababisha hasara ya dola bilioni 250: Erdogan
Fidan wa Uturuki akutana na Kamishna wa Maswala ya Wanachama wa EU, kujadili masuala ya ushirikiano
Rais wa Uturuki aadhimisha kumbukumbu ya miaka 3 ya tetemeko la ardhi
Uturuki imelaani shambulizi la kigaidi nchini Nigeria lililoua takriban watu 170
Uturuki kuimarisha uwepo wake wa kijeshi kuisaidia Somalia kupambana na ugaidi
Uturuki na Saudi Arabia kuimarisha ushirikiano wa ulinzi na uwekezaji katika ndege za kivita za KAAN
Mke wa Rais wa Uturuki amekutana na mwenzake wa Misri jijini Cairo
Erdogan na Sisi waimarisha ushirikiano kati ya Uturuki na Misri wajadili Gaza na migogoro ya kikanda
Kikao cha mwisho cha Jukwaa la Biashara kati ya Uturuki na Misri chafunguliwa jijini Cairo
Erdogan na Mwanamfalme wa Saudia waunga mkono umoja wa Somalia, wajadili masuala ya kikanda
Rais wa Uturuki Erdogan akutana na Mwanamfalme wa Saudia Mohammed bin Salman jijini Riyadh
Uturuki yapongeza hatua zinazoimarisha amani, utulivu nchini Syria: Erdogan
Uturuki yasema kuongeza mamlaka ya ujumbe wa amani wa UN bila kushirikisha Kupro ya Uturuki ni kosa