| Swahili
AFRIKA
1 dk kusoma
Watu 280,000 wakosa makazi kufuatia mapigano ya Sudan Kusini: Umoja wa Mataifa
Katika jimbo kuu la Bor, madaktari katika hospitali ya mji wanapambana kutibu ongezeko la watu waliokosa makazi wakati huo huo huduma za msingi zikikosekana.
Watu 280,000 wakosa makazi kufuatia mapigano ya Sudan Kusini: Umoja wa Mataifa
Mashirika ya kutoa misaada ya kibinadamu yanasema hali inaendelea kuwa mbaya. / Others
6 Machi 2026

Mapigano mapya katika jimbo la Jonglei kati ya vikosi vitiifu kwa Rais Salva Kiir na wapiganaji wanaohusishwa na aliyekuwa Makamu wa Rais Riek Machar yamefanya takriban watu 280,000 kukosa makazi tangu Disemba, kwa mujibu wa Umoja wa Mataifa.

Sudan Kusini imepata uhuru kutoka Sudan mwaka 2011 lakini muda mfupi baadae ikaingia katika vita vya wenyewe kwa wenyewe kati ya Kiir na Machar, waliokuwa washirika ambao uhasama wao umeigawa nchi katika misingi ya kisiasa na kikabila.

Maafisa wa misaada ya kibinadamu wanasema watu wapatao 825,000 katika jimbo la Jonglei, jimbo la Unity, na jimbo la Eastern Equatoria wanakabiliwa na tatizo la utapia mlo baada ya upungufu wa chakula na kusitishwa kwa huduma muhimu.

Katika jimbo kuu la Bor, madaktari katika hospitali ya mji wanapambana kutibu ongezeko la watu waliokosa makazi wakati huo huo huduma za msingi zikikosekana.

Kaimu Mkurugenzi wa Hospitali David Tor amesema kituo hicho hakina uwezo wa kudumu ongezeko la wagonjwa.

Soma zaidi
Watu kumi na nne waliotekwa Nigeria waokolewa: Gavana wa Jimbo
Ziara ya Afrika: Papa Leo afanya Misa nchini Angola
Wamefukuzwa Sahel: Ufaransa inatafuta nini nchini Kenya?
Pande zinazopigana DR Congo zimekubaliana kubadilishana wafungwa na kuruhusu ufikiaji wa msaada
Nigeria yavamia ‘kiwanda cha watoto’ huko Lagos, na kuwaokoa wanawake wajawazito
Marekani yawawekea vikwazo wapiganaji wa Colombia nchini Sudan
Kundi la kwanza la waliofukuzwa kutoka Marekani lawasili Kinshasa nchini DRC
Mtoto wa Mugabe akiri kumtishia mtu kwa bunduki nchini Afrika Kusini
Nigeria yapiga marufuku kusimikwa kwa ‘Wafalme wa Igbo’ nje ya nchi
Mawaziri wa mambo ya nje wa Uturuki, Misri, Pakistan, Saudia kukutana Jukwaa la Diplomasia Antalya
Somalia inasema hatua ya Israel kuunga mkono Somaliland inakiuka Uhuru wa Somalia
Mwakilishi Maalumu wa Jumuiya ya Madola Lazarus Chakwera ahitimisha ziara yake nchini Tanzania
Kenya yaomba msaada wa haraka kutoka Benki ya Dunia huku ikipunguza VAT
Wadau wajadili fursa za uwekezaji katika Kongamano la Biashara linaloendelea Kigoma, Tanzania
Mbunge Tanzania ataka sekta binafsi iruhusiwe uzalishaji wa nishati ya umeme
Kampuni ya BP yashtakiwa Kenya kufuatia madai ya uchafuzi mazingira kutokana na uchimbaji mafuta
Mashirika ya ndege ya Nigeria yatishia kusitisha huduma kuanzia Aprili 20 kutokana na bei ya mafuta
Somalia yashtumu uteuzi wa balozi wa Israel katika eneo lililojitenga la Somaliland
Uganda inasema inahitaji zaidi ya Dola bilioni moja kusambaza umeme nchini kote
Afrika Kusini yampa kifungo cha miaka mitano jela Julius Malema kwa kufyatua risasi