| Swahili
AFRIKA
1 dk kusoma
Jeshi la Guinea-Bissau lasema limetibua jaribio la mapinduzi lilohusisha maafisa kadhaa
Maafisa waliokamatwa kwa madai ya kuhusiska na jaribio hilo, wanahojiwa kwa sawa, naibu mkuu wa majeshi amesema
Jeshi la Guinea-Bissau lasema limetibua jaribio la mapinduzi lilohusisha maafisa kadhaa
Picha ya Maktaba
1 Novemba 2025

Jeshi la Guinea-Bissau limetangaza kuwa lilitibua jaribio la mapinduzi siku ya Ijumaa lilohusisha maafisa kadhaa, kulingana na vyombo vya habari.

Majenerali wa jeshi wamejitokeza katika mkutano na waandishi wa habari mubashara na kushtumu “jaribio linginge na kukiuka utaratibu wa katiba” kabla ya uchaguzi ulioratibiwa kufanyika Novemba 23.

Naibu Mkuu wa Majeshi Jenerali Mamadu Ture amesema uchunguzi unaendelea na wote waliohusika watakamatwa, Shirika la habari la Guinea-Bissau, Capital News limeripoti.

Maafisa kadhaa wamekamatwa katika siku za hivi karibuni, ikiwemo mkuu wa chuo cha kijeshi huko Cumere, Jenerali Daba Na Walna, kwa madaia ya kuhusika na jaribio la mapinduzi.


Soma zaidi
Afrika Kusini yaomba utulivu kufuatia maandamano dhidi ya kusimikwa kwa 'Igwe' wa Nigeria
Rwanda ‘yahofia’ operesheni za DRC dhidi ya kikundi cha FDLR
Kenya yalipa ada ya Dola milioni 30 ya uenyeji wa AFCON 2027
Hasara ya mamilioni kufuatia ubomoaji katika soko kubwa zaidi la wazi la Gikomba Nairobi
Shabiki maarufu ‘Lumumba Vea’ akosa viza ya  kwenda kuishangilia DRC dhidi ya Jamaica
Mamlaka ya uchukuzi Kenya yazindua ukaguzi wa lazima wa afya kwa madereva ili kupunguza ajali
Tanzania yahimiza matumizi ya AI kuimarisha mtangamano na maendeleo EAC
Kundi lenye silaha limewaua watu wasiopungua 20 Jimbo la Plateau nchini Nigeria
Wafungwa wasiopungua 11 wafariki kutokana na mlipuko wa kipindupindu katika jela DRC
Kagame awaamuru maafisa waandamizi wa serikali 'kusimama' wakati wa hotuba yake
Wadukuzi wadukua maombi ya kazi 450,000 nchini Afrika Kusini
Rais wa Misri asema ni Trump pekee anaweza kusimamisha vita, aonya kupanda zaidi kwa bei ya mafuta
Togo yatoa uzoefu wa kupambana na magonjwa yasiyopewa kipaumbele
Watu 15 wamefariki katika ajali ya barabarani mkoa wa kati Kenya
Mahakama kuu ya Jamhuri ya Congo imethibitisha ushindi wa Sassou Nguesso kwa awamu ya tano
Rwanda, Burundi wanagombana juu ya juhudi za rais wa zamani wa Senegal Sall kuongoza UN
Vifo kutokana na mafuriko nchini Kenya vyaongezeka hadi 108, polisi wasema
Majenerali wakuu wa Uganda wazuiliwa kwa madai ya ufisadi: ripoti
Eswatini yamrudisha nyumbani mwananchi wa Cambodia aliyefukuzwa kutoka Marekani
Waasi waanza kuondoka katika vijiji vya DRC ili kuhimiza amani