| swahili
AFRIKA
1 dk kusoma
Cyril Ramaphosa amsimamisha kazi Mkuu wa Idara ya Usalama ya Afrika Kusini
Kusimamishwa kwa Fazel kunakuja katikati ya sakata la tuhuma mbalimbali zinazolikabili jeshi la polisi la nchi hiyo pamoja na idara ya usalama hususani zile zinazomkabili kamishna wa Polisi wa eneo la KwaZulu-Natal, Nhlanhla Mkhwanazi mwezi Julai.
Cyril Ramaphosa amsimamisha kazi Mkuu wa Idara ya Usalama ya Afrika Kusini
Rais wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa./Picha:@CyrilRamaphosa
16 Oktoba 2025

Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa amemsimamisha Mkuu wa Idara ya Usalama nchini humo Imtiaz Fazel, kupisha uchunguzi kuhusiana na utendaji wake wa kazi.

Katika taarifa iliyotolewa Oktoba 15, kamati maalumu bunge la nchi hiyo, yenye kushughulikia masuala ya intelijensia , imesema kuwa ilimtaarifu Rais Ramaphosa kuwa ilipokea malalamiko juu ya mwenendo wa Fazel.

Hata hivyo, kamati hiyo haikuweza wazi makosa yanayomkabili mkuu huyo wa Idara ya Upelelezi nchini humo.

Kusimamishwa kwa Fazel kunakuja katikati ya sakata la tuhuma mbalimbali zinazolikabili jeshi la polisi la nchi hiyo pamoja na idara ya usalama hususani zile zinazomkabili kamishna wa Polisi katika eneo la KwaZulu-Natal, Nhlanhla Mkhwanazi mwezi Julai mwaka huu.

CHANZO:TRT Afrika Swahili
Soma zaidi
Kiongozi wa zamani wa waasi wa DRC anayeshtakiwa Paris kwa uhalifu wa kivita aanza mgomo wa kula
UN yaagiza uchunguzi wa dharura ufanyike kuhusu ukiukaji wa sheria katika Al Fasher ya Sudan
Rais wa Tanzania atangaza uchunguzi kuhusu mauaji ya waandamanaji katika uchaguzi
Wakimbizi 57,000 wamewasili kaskazini mwa Sudan baada ya mashambulizi ya RSF huko Darfur, Kordofan
Afrika Kusini yaruhusu kuingia kwa wakimbizi zaidi ya 150 kutoka Gaza, Palestina
Afrika yakumbwa na mlipuko wa kipindupindu mbaya zaidi katika miaka 25
Mataifa ya G7 walaani mashambulizi ya RSF dhidi ya raia Sudan, watoa wito wa kusitishwa mapigano
Wakenya zaidi ya 200 wajiunga na jeshi la Urusi
AU yakanusha tuhuma za Trump kuhusu mauaji ya halaiki Nigeria
Mwigulu Nchemba ateuliwa Waziri Mkuu Tanzania
Jaji Mkenya achaguliwa Mahakama ya Kimataifa ya Haki
Rais Salva Kiir wa Sudan Kusini amfuta kazi makamu wake
Duma wa Botswana aipa India zawadi ya duma 8
Kesi ya Roger Lumbala wa DRC yaanza kusikilizwa
Kesi za ubakaji, watoto kupotea zaripotiwa Darfur, Sudan – Umoja wa Mataifa
Ugonjwa wa Kichaa cha mbwa barani Afrika: Janga linaloendelea kuathiri maisha japo linaepukika
Libya yatakiwa kufunga vituo vya kuwazuilia wahamiaji katika mkutano wa Umoja wa Mataifa
Rais Museveni aonya kuzuka kwa vita endapo nchi za Afrika zitashindwa kufikia Bahari ya Hindi
UN: Milioni 11 wanawake na wasichana wanabeba uzito mkubwa wakati njaa ya Sudan inaendelea kupamba moto
Ethiopia yachagguliwa kuwa mwenyeji wa mkutano wa Umoja wa Mataifa kuhusu hali ya hewa, COP32