| Swahili
ULIMWENGU
1 dk kusoma
Ukraine, Uholanzi zatiliana saini mkataba wa ulinzi wakati wa mkutano wa NATO
Mkataba huo, ulisainiwa kati ya Rais wa Ukraine na Waziri Mkuu wa Uholanzi wakati wa mkutano unaofanyika jijini Ankara
Ukraine, Uholanzi zatiliana saini mkataba wa ulinzi wakati wa mkutano wa NATO
Rais wa Ukraine Volodymyr Zelenskiy./Picha:Reuters / Reuters

Ukraine na Uholanzi zimetiliana saini mkataba wa kushirikiana kiulinzi.

Mkataba huo ulisainiwa kati ya Rais wa Ukraine Volodymyr Zelenskyy na Waziri Mkuu wa Uholanzi Rob Jetten, siku ya Jumanne wakati wa mkutano wa 36 wa NATO, jijini Ankara.

Mbali na mkataba huo, Zelenskyy alikuwa na wasaa wa kukutana na Rais wa Finland Alexander Stubb, Waziri Mkuu wa Canada Mark Carney, pamoja na Waziri Mkuu wa Estonia Kristen Michal.

Kupitia taarifa yake baada ya kukutana na Zelenskyy, ofisi ya Carney ilisema kuwa, wawili hao walizungumza yanayojiri duniani kwa sasa, ikiwemo na jitihada za kidiplomasia za kumaliza mgogoro kati ya Urusi na Ukraine.

CHANZO:َAA
Soma zaidi
Iran yatishia kushambulia mitambo ya umeme ya nchi za Ghuba iwapo Marekani itashambulia mitambo yake
Nchi 20 za Kiislamu zajadili hatua za pamoja dhidi ya ukiukaji wa Israel katika Msikiti wa Al-Aqsa
Mawaziri wa bara Arabu, Waislamu wakutana Jordan kujadili kwa pamoja Jerusalem Mashariki inayokaliwa
Wahamiaji 70,000 waondoka Hispania huku idadi ya vifo ikiongezeka
Wanafunzi wa Korea Kusini matatani kwa ‘kuvunja’ na kuingia ndani ya kambi ya kijeshi ya Marekani
Wahamiaji wapatao 160 waokolewa baada ya meli yao kuwaka moto
Chama cha soka cha Palestina chaituhumu FIFA kwa kushindwa kuiadhibu Israel
Trump aitaka Iran ichague kati ya makubaliano na kujislamisha
Namna kijana mwenye umri wa miaka 12 mwenye usonji alivyotumia uokaji keki kukabiliana na chuki
Australia yathibitisha vifo vya ndege vinavyotokana na mafua H5
Iran: Hatuna mazungumzo yoyote na Marekani
Mashambulizi ya Israel yaua Wapalestina 12, wakiwemo watoto wawili, huko Gaza
Iran inachukulia kila tishio kutoka kwa wapinzani kuwa "halisi na la kuaminika" : Kaimu Waziri
Trump asitisha shambulio lililopangwa dhidi ya Iran
Hamas yakubali kusalimisha silaha nzito katika 'uamuzi mgumu' kama sehemu ya makubaliano
Makubaliano ya nyuklia ya Marekani na Saudi Arabia yanabadilisha muelekeo Mashariki ya Kati
Taifa la Nauru labadilisha jina, sasa kuitwa Naoero
China yakana taarifa za kusafirisha vifaa vya kurusha makombora Iran
Marekani yaanzisha wimbi jipya la mashambulizi dhidi ya Iran
Watu wasiojulikana waharibu kituo cha hija ya Wakatoliki nchini Bosnia