| Swahili
AFRIKA
1 dk kusoma
Umoja wa Mataifa yatenga Dola milioni 60 kupambana na Ebola
Ebola ni ugonjwa hatari unaosambazwa kwa kugusana na majimaji ya mwili wa mtu aliyeambukizwa au aliyefariki kutokana na ugonjwa huo.
Umoja wa Mataifa yatenga Dola milioni 60 kupambana na Ebola
Umoja wa Mataifa umetenga Dola milioni 60 kama fungu la dharura la kukabiliana na ugonjwa wa Ebola katika eneo la Afrika ya Kati. / Reuters

Umoja wa Mataifa umetenga Dola milioni 60 kama fungu la dharura la kukabiliana na ugonjwa wa Ebola katika eneo la Afrika ya Kati.

"Ni lazima tukabiliane na ugonjwa huu. Leo hii, ninatenga Dola milioni 60 kutoka Mfuko wa Dharura wa Umoja wa Mataifa kuongeza kasi ya kukabiliana na janga la Ebola nchini DRC na sehemu nyinginezo," alisema Tom Fletcher Afisa Mwandamizi wa mfuo huo.

Kulingana na Fletcher, mchakato huo unaratibiwa na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Tedros Adhanom Ghebreyesus.

"Bado tunakumbana na changamoto kubwa kwenye epidemiolojia ya ugonjwa huu, wakati ambao bado hatujapata chanjo mahususi za kirusi cha Bundibugyo," aliongeza.

Ebola ni ugonjwa hatari unaosambazwa kwa kugusana na majimaji ya mwili wa mtu aliyeambukizwa au aliyefariki kutokana na ugonjwa huo.

Dalili zake ni pamoja na homa kali, kutapika, kuharisha, uchovu mkubwa na kutokwa damu.

 

CHANZO:AA
Soma zaidi
Wananchi waelimishwe kuhusu umuhimu wa kuandikishana mikataba ya ardhi-Wazri Mkuu wa Tanzania
Misri, Qatar wasisitiza utekelezaji wa makubaliano ya awamu ya kwanza ya kusitisha mapigano Gaza
DRC kucheza mechi ya kirafiki dhidi ya Chile nchini Ufaransa baada ya marufuku ya Hispania
Afrika Kusini yaishutumu Ghana kufanya 'mbwembwe za umma' wakati wa kurudisha raia wake
Utafiti wa miaka mingi wa kutafuta mnyama anayeeneza virusi vya Ebola
Boko Haram yawaachilia mamia ya watu waliotekwa nyara nchini Nigeria
Askofu wa Msumbiji afariki baada ya kupigwa risasi nyumbani kwake
Mauritius inazuia kuingia kwa wasafiri kutoka nchi zilizokumbwa na Ebola
Utamaduni uliokosea? Jinsi usimamizi wa AI unatishia Usanii wa kimila wa Kiafrika
Janga la Ebola: Wafanyabiashara wapata hasara kubwa katika mpaka wa Uganda-DRC
Mchekeshaji wa Kenya Eric Omondi akamatwa kwa maandamano kupinga kupanda bei ya mafuta
Ebola inaenea 'kwa kasi' huku maambukizi 71 mapya yakithibitishwa katika siku moja
Chama tawala cha Guinea chashinda kwa kishindo bungeni, uchaguzi wa manispaa
Mali yamfunga jela mwanadiplomasia wa Ufaransa kwa madai ya njama ya kuvuruga utulivu
Watu wasiopungua 49 wafariki kwa kiu katika jangwa la Sahara baada ya gari kuharibika Niger
Nigeria kuwasafirisha raia wake zaidi 1,000 kutoka Afrika Kusini
Kiwanda cha mafuta cha Dangote Nigeria chaongeza uwezo, chasafisha mapipa 700,000
Waandamanaji wavamia ofisi ya UN Libya
Mkuu wa Umoja wa Mataifa asikitishwa na ripoti za ghasia katika mji mkuu wa Somalia
Uturuki, Niger watia saini makubaliano ya ushirikiano baada ya mazungumzo ngazi ya urais