| swahili
MICHEZO
1 dk kusoma
Ligi Kuu ya England (EPL) kurindima tena baada ya mapumziko
Ligi Kuu ya England inarejea tena wikiendi hii baada ya mapumziko kwa ajili ya kucheza mechi za kimataifa.
Ligi Kuu ya England (EPL) kurindima tena baada ya mapumziko
Wachezaji wa Arsenal. / Reuters
17 Oktoba 2025

Mechi za Ligi Kuu ya England zinaanza tena wikiendi hii baada ya wachezaji kumaliza mechi zao za taifa.

Arsenal ambao wanaongoza msimamo wa jedwali sasa hivi wakiwa na alama 16 watashuka dimbani dhidi ya Fulham siku ya Jumamosi. Manchester City watakuwa nyumbani kukabiliana na Everton.

Nottingham watawasubiri Chelsea katika uwanja wao wa City Ground., huku Crystal Palace wakiwa wenyeji wa Bournemouth.

Jumapili waliyo katika nafasi ya pili kwenye jedwali la Ligi Kuu ya England na alama 15 Liverpool watavaana na Manchester United katika uwanja wa Anfield.

CHANZO:TRT Afrika Swahili
Soma zaidi
Nini Nigeria ifanye kufuzu Kombe la Dunia 2026?
Ndege ya timu ya soka ya Nigeria iliyokuwa inaelekea nyumbani yalazimika kutua kwa dharura
Algeria yafuzu kwa Kombe la Dunia 2026
Timu ya raga ya Afrika Kusini mabingwa wa dunia tena
Kenya yashinda afueni ya vikwazo vya matumizi ya dawa za kusisimua misuli
Namibia na Zimbabwe zafuzu kwa Kombe la Dunia la Kriketi T20 mwaka 2026
Arsenal na Newcastle wapata ushindi kwenye mechi za Ligi ya mabingwa barani Ulaya
India yagoma kushiriki hafla ya kombe baada ya kuipiga Pakistan kutwaa taji la Kombe la Asia
Wanariadha wa Kenya Wanakaribishwa Kwa Shangwe Baada ya Ushindi Wao Katika Tokyo
Nyota wa Ufaransa na PSG Ousmane Dembele Ashinda Ballon d'Or 2025
Botswana yaweka historia kwa kushinda dhahabu ya kusisimua ya 4x400m
Lilian Odira wa Kenya ameshinda dhahabu ya dunia katika mbio za 800m kwa kumshinda Hodgkinson
Wakenya washinda mbio za marathon za wanaume na wanawake mjini Berlin
Mkenya Peres Jepchirchir ampiku Tigst Assefa wa Ethiopia kupata dhahabu katika mbio za marathon
Alphonse Simbu adakia dhahabu ya kwanza kabisa kwa Tanzania Katika Mashindano ya Dunia ya mbio-Tokyo
Omar Artan aweka historia ya kuwa mwamuzi wa kwanza wa Somalia kuchezesha Kombe la Dunia la FIFA
Morocco iliishinda Niger na kuwa timu ya kwanza ya Afrika kufuzu kwa Kombe la Dunia la 2026
Kipa Mbrazil Ederson ajiunga na Fenerbahce ya Uturuki akitokea Manchester City
Morocco yaipiga Madagascar na kushinda taji la tatu la CHAN
Abdou Abdel Mefire ameteuliwa kuwa mwamuzi katika fainali ya CHAN PAMOJA 2024 jijini Nairobi