| Swahili
ULIMWENGU
1 dk kusoma
Rais Donald Trump ataka ahusishwe uteuzi wa kiongozi mpya wa Iran
Akizungumza siku ya Alhamisi, Trump amesema kuwa Mojtaba Khamenei, mtoto wa Khamenei aliyependekezwa kumrithi baba yake, hana uwezo wa kuiongoza Iran.
Rais Donald Trump ataka ahusishwe uteuzi wa kiongozi mpya wa Iran
Rais Donald Trump wa Marekani./Picha:Wengine
5 Machi 2026

Rais wa Marekani Donald Trump amesisitiza kuwa anapaswa kuhusishwa kwenye kumchagua mtu anayefaa kuiongoza Iran kwa sasa, kufuatia kifo cha Ayatollah Ali Khamenei.

Akizungumza siku ya Alhamisi, Trump amesema kuwa Mojtaba Khamenei, mtoto wa Khamenei aliyependekezwa kumrithi baba yake, hana uwezo wa kuiongoza Iran.

"Mojtaba Khamenei hana uwezo wa kuiongoza Iran. Natakiwa nihusishwe kwenye uteuzi wa kiongozi mpya wa Iran, kama ilivyofanyika kwa Delcy wa Venezuela,” alisema Trump.

Kiongozi huyo wa Marekani alikuwa akitolea mfano wa rais wa mpito wa Venezuela, Delcy Rodriguez ambaye alishirikiana na Rais Trump, baada ya kuondolewa kwa Nicolas Maduro.

"Simkubali mtoto wa Khamenei kabisa. Tunataka mtu ambaye ataleta amani na maelewano nchini Iran,” alisema Trump katika mahojiano yake na chombo cha habari cha Axios.

CHANZO:AFP
Soma zaidi
Trump asema Marekani itatwaa urani ya Iran nyumbani kwa kutumia 'mashine kubwa za uchimbaji'
Makombora ya Urusi yashambulia Ukraine na kuua watu 16
Iran yapendekeza miaka 5 ya kusitisha urutubishaji wa Uranium huku Marekani ikishinikiza miaka 20
Meli ya China iliowekewa vikwazo na Marekani yapita Mlango Bahari wa Hormuz
Zaidi ya theluthi moja ya miundombinu ya nishati Mashariki ya Kati imeathiriwa na vita vya Iran
Gazeti la Uingereza la The Daily Telegraph lafuta habari isiyo sahihi kuhusu Erdogan
Trump afikiria kuishambulia upya Iran baada ya mazungumzo ya amani ya Islamabad kushindikana-ripoti
Trump aagiza jeshi la Marekani kukamata meli yoyote inayolipa kuvuka mlango bahari wa Hormuz
Takriban watu 30 wamefariki katika mkanyagano kwenye ngome ya kihistoria ya Laferriere nchini Haiti
Hakuna makubaliano ya Marekani-Iran baada ya mazungumzo ya saa 21 nchini Pakistan, asema Vance
Marekani yakubali kuachilia mali ya Iran iliyozuiliwa ili kuendeleza mazungumzo ya Islamabad
Makamu wa Rais Vance awasili Pakistan kuanza mazungumzo muhimu ya Marekani na Iran
Korea Kaskazini, China zakutana, kukuza ushirikiano wa kimkakati
Rais Macron, Papa Leo wa 14 wajadili hali ya Mashariki ya Kati
Netanyahu asema Israel itaishambulia Hezbollah pale inapobidi
Kocha wa zamani wa Romania Mircea Lucescu afariki dunia
Bilionea Bill Gates kutoa ushahidi wake kuhusu faili za Jeffrey Epstein
Netanyahu: Tumeshambulia reli na madaraja ya Iran
Mbunge wa Marekani aanza mchakato wa kura ya kutokuwa na imani dhidi ya Waziri wa Ulinzi
Misri, Uturuki na Pakistan katika jitihada za upatanishi: Vyombo vya habari Marekani