| Swahili
AFRIKA
1 dk kusoma
Wanafunzi 43 wa Uganda warudishwa kutoka Iran
Wanafunzi hao wanatarajiwa kuwasili nchini Uganda Machi 5, 2026.
Wanafunzi 43 wa Uganda warudishwa kutoka Iran
Wanafunzi hao walipitia Uturuki ambapo walipewa viza na serikali ya Uturuki ya kuwawezesha kusafiri hadi nyumbani .Picha:@ChrisOMagezi / Public domain
5 Machi 2026

Wizara ya Mambo ya Nje ya Uganda imesema kuwa wanafunzi 43 wa Uganda waliokuwa nchini Iran wakati wa uvamizi wa Marekani na Israel dhidi ya nchi hiyo mwishoni mwa juma, walihamishwa hadi Uturuki na sasa wanasafirishwa kwa ndege kurejea nyumbani.

Wanatarajiwa kuwasili Uganda Machi 5, 2026.

Kauli hiyo ilitolewa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje, Vincent Bagiire, alipokuwa mbele ya Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali, kujibu hoja za ukaguzi katika ripoti ya Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali.

Wanafunzi hao walihamishwa kutoka mji mkuu wa Iran, Tehran kwa kutumia usafiri wa mabasi katika safari ndefu ya saa 24 hadi mpaka wa Gurbulak wa Uturuki na Iran.

Uganda imeishukuru serikali ya Uturuki kwa kuwapa viza raia wake ili waweze kuunganisha safari ya kurudi nyumbani.

Soma zaidi
Watu kumi na nne waliotekwa Nigeria waokolewa: Gavana wa Jimbo
Ziara ya Afrika: Papa Leo afanya Misa nchini Angola
Wamefukuzwa Sahel: Ufaransa inatafuta nini nchini Kenya?
Pande zinazopigana DR Congo zimekubaliana kubadilishana wafungwa na kuruhusu ufikiaji wa msaada
Nigeria yavamia ‘kiwanda cha watoto’ huko Lagos, na kuwaokoa wanawake wajawazito
Marekani yawawekea vikwazo wapiganaji wa Colombia nchini Sudan
Kundi la kwanza la waliofukuzwa kutoka Marekani lawasili Kinshasa nchini DRC
Mtoto wa Mugabe akiri kumtishia mtu kwa bunduki nchini Afrika Kusini
Nigeria yapiga marufuku kusimikwa kwa ‘Wafalme wa Igbo’ nje ya nchi
Mawaziri wa mambo ya nje wa Uturuki, Misri, Pakistan, Saudia kukutana Jukwaa la Diplomasia Antalya
Somalia inasema hatua ya Israel kuunga mkono Somaliland inakiuka Uhuru wa Somalia
Mwakilishi Maalumu wa Jumuiya ya Madola Lazarus Chakwera ahitimisha ziara yake nchini Tanzania
Kenya yaomba msaada wa haraka kutoka Benki ya Dunia huku ikipunguza VAT
Wadau wajadili fursa za uwekezaji katika Kongamano la Biashara linaloendelea Kigoma, Tanzania
Mbunge Tanzania ataka sekta binafsi iruhusiwe uzalishaji wa nishati ya umeme
Kampuni ya BP yashtakiwa Kenya kufuatia madai ya uchafuzi mazingira kutokana na uchimbaji mafuta
Mashirika ya ndege ya Nigeria yatishia kusitisha huduma kuanzia Aprili 20 kutokana na bei ya mafuta
Somalia yashtumu uteuzi wa balozi wa Israel katika eneo lililojitenga la Somaliland
Uganda inasema inahitaji zaidi ya Dola bilioni moja kusambaza umeme nchini kote
Afrika Kusini yampa kifungo cha miaka mitano jela Julius Malema kwa kufyatua risasi