| Swahili
AFRIKA
1 dk kusoma
Dangote wa Nigeria anasema atalipa kipaumbele soko la mafuta la nyumbani
Kiwanda kikubwa cha kusafisha mafuta cha Dangote nchini Nigeria siku ya Jumatatu kimeahidi kulipa kipaumbela soko la nyumbani kusaidia katika kupunguza uhaba wa mafuta na athari kwa bei za mafuta kutokana na mapigano Mashariki ya Kati.
Dangote wa Nigeria anasema atalipa kipaumbele soko la mafuta la nyumbani
Bei za mafuta nchini Nigeria zimeongezeka kwa asilimia 20% katika kipindi cha wiki moja. / Reuters
9 Machi 2026

Kiwanda kikubwa cha kusafisha mafuta cha Dangote nchini Nigeria siku ya Jumatatu kimeahidi kulipa kipaumbele soko la nyumbani ili kukabiliana na uhaba wa mafuta na kupunguza athari za bei kutokana na mapigano Mashariki ya Kati.

Hata hivyo, imeonya, kuwa hilo linategema kuungwa mkono na serikali na Dangote akasema huenda bei zikapanda tena.

Bei za mafuta katika taifa hilo la Afrika Magharibi tayari zimepanda kwa asilimia 20% katika kipindi cha wiki moja, kufuatia mashambulizi ya Marekani na Israel dhidi ya Iran hukU Iran ikilipa kisasi.

Usambazaji umetatizwa kutokana na mapigano Mashariki ya Kati kufanya bei ya pipa moja kuwa zaidi ya dola $100 duniani Jumatatu, kusababisha hofu ya kuwepo kwa uhaba wa mafuta.

Soko la Kimataifa

Shirika la Mafuta la Nigeria (NNPC) linamilikiwa lote na serikali.

Kuongezeka kwa bei ya mafuta ghafi duniani, gharama za uchukuzi na bima kumesababisha matumizi ya Dangote kupanda.

Bei ya mafuta nchini Nigeria wiki hii imepanda kutoka naira 830 kwa lita moja jijini Lagos hadi naira 1,050 (dola $0.59 to $0.75), ikiwa ni bei ya juu zaidi.

CHANZO:TRT Afrika Swahili
Soma zaidi
Watu kumi na nne waliotekwa Nigeria waokolewa: Gavana wa Jimbo
Ziara ya Afrika: Papa Leo afanya Misa nchini Angola
Wamefukuzwa Sahel: Ufaransa inatafuta nini nchini Kenya?
Pande zinazopigana DR Congo zimekubaliana kubadilishana wafungwa na kuruhusu ufikiaji wa msaada
Nigeria yavamia ‘kiwanda cha watoto’ huko Lagos, na kuwaokoa wanawake wajawazito
Marekani yawawekea vikwazo wapiganaji wa Colombia nchini Sudan
Kundi la kwanza la waliofukuzwa kutoka Marekani lawasili Kinshasa nchini DRC
Mtoto wa Mugabe akiri kumtishia mtu kwa bunduki nchini Afrika Kusini
Nigeria yapiga marufuku kusimikwa kwa ‘Wafalme wa Igbo’ nje ya nchi
Mawaziri wa mambo ya nje wa Uturuki, Misri, Pakistan, Saudia kukutana Jukwaa la Diplomasia Antalya
Somalia inasema hatua ya Israel kuunga mkono Somaliland inakiuka Uhuru wa Somalia
Mwakilishi Maalumu wa Jumuiya ya Madola Lazarus Chakwera ahitimisha ziara yake nchini Tanzania
Kenya yaomba msaada wa haraka kutoka Benki ya Dunia huku ikipunguza VAT
Wadau wajadili fursa za uwekezaji katika Kongamano la Biashara linaloendelea Kigoma, Tanzania
Mbunge Tanzania ataka sekta binafsi iruhusiwe uzalishaji wa nishati ya umeme
Kampuni ya BP yashtakiwa Kenya kufuatia madai ya uchafuzi mazingira kutokana na uchimbaji mafuta
Mashirika ya ndege ya Nigeria yatishia kusitisha huduma kuanzia Aprili 20 kutokana na bei ya mafuta
Somalia yashtumu uteuzi wa balozi wa Israel katika eneo lililojitenga la Somaliland
Uganda inasema inahitaji zaidi ya Dola bilioni moja kusambaza umeme nchini kote
Afrika Kusini yampa kifungo cha miaka mitano jela Julius Malema kwa kufyatua risasi