Vichwa vya habari:
Mahakama ya Juu nchini Kenya imzuia kwa muda kuchujwa kwa wateule wa Tume Huru ya Uchaguzi
Maoni yanaendelea kutolewa baada ya Rais wa Tanzania kutoa matamshi makali dhidi ya wanaharakati
Waasi wa Houthi wa Yemen watangaza kuzuia safari za baharini kwenye bandari ya Haifa ya Israeli
Marekani inaweza kuitenga Israel ikiwa mauaji ya halaiki ya Gaza yataendelea
Maafisa wa Uturuki na Marekani kukutana Washington, DC wiki hii kuzungumza kuhusu Syria