
00:00
00:0000:00
Sikiliza zaidi
Dondoo za TRT Afrika Swahili 18/12/2024
Mashambulizi mapya ya Israeli kaskazini mwa Gaza yawaua Wapalestina 8 huku mazungumzo ya kusitisha mapigano nchini Qatar yakiendelea, na Chama cha madaktari wa wanyama nchini Kenya kimeitaka serikali kusitisha mpango wa kuwapa chanjo kwa lazima ngombe zidi ya milioni 22.
Sikiliza zaidi