| Swahili
Dondoo za TRT Afrika | 09 Oktoba
00:00
00:0000:00
Ulimwengu
Dondoo za TRT Afrika | 09 Oktoba
Israel na kundi la Hamas wamefikia makubaliano juu ya awamu ya kwanza ya kusitisha mapigano Gaza na Shirika la Umoja wa Mataifa linajiandaa kupunguza kazi zake za kulinda Amani.

Vyanzo vya habari:

  • Israel na Hamas wamefikia makubaliano juu ya awamu ya kwanza ya kusitisha mapigano Gaza

  • Trump anatarajiwa kuhutubia bunge la Israel baada ya makubaliano ya Gaza

  • Mashambulizi ya RSF katika hospitali yaua watu 20 huko Al-Fasher, Sudan

  • UN inajiandaa kupunguza kazi zake za kulinda amani kufuatia upungufu wa fedha

  • UN: Israel imeharibu asilimia 80 ya Gaza

Sikiliza zaidi
Dondoo za TRT Afrika Swahili | 04 Machi 2026
Janga la unene
Sura ya Waislamu katika Bollywood
Unaijua homa ya ndege?
Palestina ya Marekani
Lugha ya Hisia
Je, miaka ni nambari tu?
Urembo kwenye mitandao ya kijamii unaathiri vipi wasichana?
Kutoka mtoni hadi baharini, Palestina itakuwa huru
Urithi wa Kiandalusia Umeishaje?