| Swahili
Dondoo za TRT Afrika | 01 Agosti
00:00
00:0000:00
Ulimwengu
Dondoo za TRT Afrika | 01 Agosti
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), amezitaka nchi wanachama kutekeleza mikataba yenye kuheshimu mpango wa soko la pamoja na Serikali ya Uturuki na ile ya Gabon zimekubaliana kushirikiana kijeshi.

Vichwa vya habari:

  • Katibu Mkuu wa EAC, amezitaka nchi wanachama kutekeleza mikataba ya mpango wa soko la pamoja

  • Uturuki na Gabon zimekubaliana kushirikiana kijeshi

  • Trump: Janga la njaa huko Gaza ni baya, ameipuka kuilaumu Israel

  • Palestina inaipongeza hatua ya Canada, Malta na Ureno ya kulitambua taifa la Palestina

  • Urusi inaunga mkono Syria, inakataa uingiliaji wa kigeni

Sikiliza zaidi
Dondoo za TRT Afrika Swahili | 04 Machi 2026
Janga la unene
Sura ya Waislamu katika Bollywood
Unaijua homa ya ndege?
Palestina ya Marekani
Lugha ya Hisia
Je, miaka ni nambari tu?
Urembo kwenye mitandao ya kijamii unaathiri vipi wasichana?
Kutoka mtoni hadi baharini, Palestina itakuwa huru
Urithi wa Kiandalusia Umeishaje?