Vichwa vya habari:
Mwigulu Nchemba ateuliwa Waziri Mkuu Tanzania
Wakenya zaidi ya 200 wamejiunga na jeshi la Urusi
AU yakanusha madai ya Trump kuhusu mauaji ya halaiki Nigeria
Mawaziri wa mataifa ya G7 walaani mashambulizi ya RSF dhidi ya raia Sudan, watoa wito wa kusitishwa mapigano
Makubaliano ya usitishaji mapigano Gaza ni dhaifu, yanakiukwa kila mara - UN