14 Novemba 2025
Vichwa vya habari:
Afrika kukumbwa na mlipuko wa kipindupindu mbaya zaidi katika miaka 25
Afrika Kusini yaruhusu kuingia kwa wakimbizi 153 Wapalestina nchini humo
Wapalestina 900,000 waliokimbia makazi yao wahofia mafuriko Gaza
BBC yamuomba radhi Donald Trump baada ya kupotosha habari yake
Mpango wa Marekani wa kupeleka vikosi Gaza yakabiliwa na pingamizi