|
Swahili
|
Swahili
SIASA
UTURUKI
JARIDA
MAONI
MICHEZO
AFRIKA
Nuri Aden
Producer TRT Afrika Swahili
Producer TRT Afrika Swahili
Makala za Mwandishi
Balozi wa Somalia nchini Uturuki apongeza mchango wa Uturuki kwa usalama uchaguzi wa kihistoria
Balozi Fathudin Ali Ospite anasema msaada wa Uturuki ulichangia “pakubwa” kuhakikisha mji mkuu Mogadishu uko salama, na kufanikisha upigaji kura.
3 dk kusoma
Upigaji kura wa wananchi wa Mogadishu baada ya miaka 60, una maana gani kwa demokrasia ya Somalia?
Hatua ya kihistoria ya Somalia kuelekea mfumo wa kura ya moja kwa moja inategemea iwapo uchaguzi huu wa kihistoria utaweza kuimarisha demokrasia bila kuvunja makubaliano yanayohitajika ili kuilinda.
5 dk kusoma
Kenya yapigia mfano Uturuki katika uboreshaji wa uwanja wa ndege wa JKIA
Umaarufu na weledi wa Uturuki katika huduma za anga unazidi kuvupa mipaka, huku Kenya ikijaribu kuiga mfano wan nchi hiyo katika kuboresha miundombinu yake.
4 dk kusoma
Mama Amina na harakati za kuokoa wenye matatizo ya afya ya akili Kenya
Kutoka umahiri wa masuala ya utalii hadi kuokoa maisha: Amina Abdallah, Mkurugenzi aliyeacha tasnia aliyopenda na kuamua kupambana na janga la afya ya akili.
6 dk kusoma
Bin Agil: Mapishi ya pwani na ladha asili mjini Mombasa
Katika mtaa wa Majengo, eneo la Mvita,mji wa kitalii wa Mombasa upepo mwanana wa bahari unaambatana na harufu ya biashara za karne nyingi za Bahari ya Hindi, ndipo anapopatikana mmoja wa wataalamu wa mapishi.
4 dk kusoma
Uturuki na Afrika zaanza enzi mpya ya ushirikiano thabiti - AU
Uturuki ni mshirika wa kuaminika, anayejenga, kuwekeza, kusikiliza na kuchukua hatua sambamba na matarajio ya Afrika, alisema Kamishna wa Maendeleo ya Kiuchumi wa Umoja wa Afrika, Francisca Tatchouop Belobe.
4 dk kusoma
DRC yawaachia huru zaidi ya raia 50 wa Somalia baada ya juhudi za kidiplomasia
Kuachiwa kwao kulitokea siku tatu baada ya Balozi Hassan kukutana na viongozi wa DRC na kuwasilisha ombi rasmi kwa niaba ya serikali ya Somalia.
2 dk kusoma
Somalia yafungua milango ya fursa kwa kutumia viza mitandao
Mfumo huu mpya unarahisisha utoaji huduma kwa wasafiri ndani ya taifa hilo.
2 dk kusoma
Lango la Afrika kuelekea Mwezini: Somalia yajiandaa kufika anga za mbali kwa msaada wa Uturuki
Uturuki inaisaidia Somalia kuwa nchi ya kwanza barani Afrika kuzindua satelaiti kutoka katika ardhi yenyewe, kwa kutumia uwekezaji wa dola bilioni 6.
4 dk kusoma
Mchezaji bora wa soka Afrika: CAF yazindua orodha ya wagombea wa tuzo hizo 2023
Tanzania itawania kitengo cha timu bora ya taifa ya mwakani, dhidi ya Cape Verde, Gambia, Guinea Bissau, Equatorial Guinea, Mauritania, Morocco, Msumbiji, Namibia na Senegal.
3 DK KUSOMA