| Swahili
Kenya ifanyeje maiti zisizo chukuliwa?
07:15
Ulimwengu
Kenya ifanyeje maiti zisizo chukuliwa?
Nchini Kenya, Miili ambayo haijachukuliwa na ndugu na jamaa zao imekuwa ikirundikana katika vyumba vya kuhifadhia maiti vya umma jijini Nairobi na kusababisha mamlaka kuweka mkataa na kutafuta kibali cha mahakama kwa ajili ya kuzika maiti hizo. Miili ambayo haijachukuliwa na ndugu na jamaa zao imekuwa ikirundikana katika vyumba vya kuhifadhia maiti vya umma jijini Nairobi na kusababisha mamlaka kuweka mkataa na kutafuta kibali cha mahakama kwa ajili ya kuzika maiti hizo.
Tazama Video zaidi
Kijiji ambacho wanaume wote wamepigwa marufuku
Tanzania yaingia katika orodha ya nchi zinazozalisha gesi ya Helium
Uganda: Biashara ya usafiri si ya watu binafsi
Afrika ndilo bara la pili katika uzalishaji wa asali duniani | Utajiri wa Afrika
Charles Kibe Mwangi na simulizi ya njiti ya ufagio
Je, unaijua nchi ya Iran?
Je, Ufaransa Ilifanya nini Cameroon? Ukweli wafichuka
Raila Odinga asimulia alivyotumia pasipoti ya Tanganyika kusafiria
Eunice: 'Mimi naweza chochote' | Story Yangu
Bwana Chui Bin Kositi: Shujaa wa Uadilifu kutoka Congo