| Swahili
Imani za Kiafrika: mtoto kuinama na kuangalia nyuma kupitia miguuni
Afrika
Imani za Kiafrika: mtoto kuinama na kuangalia nyuma kupitia miguuni
Je, katika jamii yako tabia hii ina maana gani?
18 Aprili 2025

Watoto mara nyingi wanakuwa na tabia tofauti, huku wengine wakionyesha tabia ya kuinama na kuangalia nyuma kupitia miguuni. Baadhi ya jamii zinaamini mtoto akifanya hivyo, aidha mama yake ni mja mzito au anakaribia kushika ujauzito.

Tazama Video zaidi
Nyuma ya Kamera: Kisa cha picha maarufu ya Muhammad Ali
AFCON 2025: Ni Senegal au Morocco?
Kocha wa Morocco asema 'Hatubebwi na marefa'
Viwanja vya AFCON 2025 Morocco
Tanzania yaaga mashindano ya AFCON 2025
Fei Toto: "Muhimu ulikuwa ni kuvuka hatua ya makundi"
Biashara ya Jezi yavuma Morocco
Utajiri wa Afrika: Twiga wa Afrika
Tanzania yafungua Afcon 2025 kwa kichapo cha 2-1 kutoka Nigeria
AFCON 2025 - "Afe beki, Afe kipa, kombe ni la Tanzania"