Watoto mara nyingi wanakuwa na tabia tofauti, huku wengine wakionyesha tabia ya kuinama na kuangalia nyuma kupitia miguuni. Baadhi ya jamii zinaamini mtoto akifanya hivyo, aidha mama yake ni mja mzito au anakaribia kushika ujauzito.


Tazama Video zaidi
Imani za Kiafrika: mtoto kuinama na kuangalia nyuma kupitia miguuni
Je, katika jamii yako tabia hii ina maana gani?
Tazama Video zaidi