| Swahili
Rais Samia atangazwa mshindi
01:58
Afrika
Rais Samia atangazwa mshindi
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ametangazwa mshindi wa uchaguzi wa urais nchini humo.
1 Novemba 2025

Tume ya uchaguzi ilimtangaza siku ya Jumamosi akipata asilimia 98 ya kura ambapo wapinzani wakuu hawakushiriki wengine wakiwa gerezani au kuzuiwa kugombea, hali iliyosababisha machafuko.

Tazama Video zaidi
Nyuma ya Kamera: Kisa cha picha maarufu ya Muhammad Ali
AFCON 2025: Ni Senegal au Morocco?
Kocha wa Morocco asema 'Hatubebwi na marefa'
Viwanja vya AFCON 2025 Morocco
Tanzania yaaga mashindano ya AFCON 2025
Fei Toto: "Muhimu ulikuwa ni kuvuka hatua ya makundi"
Biashara ya Jezi yavuma Morocco
Utajiri wa Afrika: Twiga wa Afrika
Tanzania yafungua Afcon 2025 kwa kichapo cha 2-1 kutoka Nigeria
AFCON 2025 - "Afe beki, Afe kipa, kombe ni la Tanzania"