Tume ya uchaguzi ilimtangaza siku ya Jumamosi akipata asilimia 98 ya kura ambapo wapinzani wakuu hawakushiriki wengine wakiwa gerezani au kuzuiwa kugombea, hali iliyosababisha machafuko.

01:58

01:58
Tazama Video zaidi
Rais Samia atangazwa mshindi
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ametangazwa mshindi wa uchaguzi wa urais nchini humo.
Tazama Video zaidi