| Swahili
Majina ya nchi za Afrika Kabla ukoloni
02:32
Afrika
Majina ya nchi za Afrika Kabla ukoloni
Je, unajua kuwa baadhi ya nchi za Afrika zilikuwa na majina tofauti kabla ya ukoloni?
1 Aprili 2025

Wakoloni walivyoanza kutawala, wakabadilisha majina hayo - lakini baada ya kupata uhuru, baadhi ya nchi zikarejesha utambulisho wao wa asili!

Kwa mfano, Burkina Faso ikiitwa Upper Volta, Ghana ikiitwa Gold Coast na Beini ikiitwa French Dahomey.

Tazama Video zaidi
Nyuma ya Kamera: Kisa cha picha maarufu ya Muhammad Ali
AFCON 2025: Ni Senegal au Morocco?
Kocha wa Morocco asema 'Hatubebwi na marefa'
Viwanja vya AFCON 2025 Morocco
Tanzania yaaga mashindano ya AFCON 2025
Fei Toto: "Muhimu ulikuwa ni kuvuka hatua ya makundi"
Biashara ya Jezi yavuma Morocco
Utajiri wa Afrika: Twiga wa Afrika
Tanzania yafungua Afcon 2025 kwa kichapo cha 2-1 kutoka Nigeria
AFCON 2025 - "Afe beki, Afe kipa, kombe ni la Tanzania"