| Swahili
Ni ipi hatma ya Kenya, Uganda na DRC?
01:11
Afrika
Ni ipi hatma ya Kenya, Uganda na DRC?
Ikiwa tayari imejikusanyia alama 7 baada ya michezo mitatu, ‘Harambee Stars’ ni kama vile ipo mguu ndani, mguu nje kutinga robo fainali.
12 Agosti 2025

Ikiwa tayari imejikusanyia alama 7 baada ya michezo mitatu, ‘Harambee Stars’ ni kama vile ipo mguu ndani, mguu nje kutinga robo fainali.

Uganda wanahitaji suluhu ya aina yoyote kwenye mchezo wao wa mwisho dhidi ya Afrika Kusini yenye alama 3, wakiombea Guinea ifungwe na Algeria kwenye mchezo wa Agosti 18.

Timu ya DRC bado wana nafasi ya kutinga hatua ya robo fainali, kufuatia ushindi wao wa mabao 2-0 dhidi ya Zambia, Agosti 7.

Tazama Video zaidi
Nyuma ya Kamera: Kisa cha picha maarufu ya Muhammad Ali
AFCON 2025: Ni Senegal au Morocco?
Kocha wa Morocco asema 'Hatubebwi na marefa'
Viwanja vya AFCON 2025 Morocco
Tanzania yaaga mashindano ya AFCON 2025
Fei Toto: "Muhimu ulikuwa ni kuvuka hatua ya makundi"
Biashara ya Jezi yavuma Morocco
Utajiri wa Afrika: Twiga wa Afrika
Tanzania yafungua Afcon 2025 kwa kichapo cha 2-1 kutoka Nigeria
AFCON 2025 - "Afe beki, Afe kipa, kombe ni la Tanzania"