| Swahili
Yuko wapi Victor Wanyama?
02:02
Michezo
Yuko wapi Victor Wanyama?

Pengine unamfahamu Victor Wanyama au umeshawahi kumuona au hata kumsikia.

Victor Wanyama, ni Mkenya wa kwanza kucheza katika Ligi kuu ya England EPL.

Akianza akiwa na umri wa miaka 15, amechezea klabu hizi: Nairobi City Stars, AFC Leopards, Beerschot AC, Celtic, Southampton, Tottenham Hotspurs, CF Montreal na sasa yuko na Dunfermline Athletic.

Goli lake akiichezea Tottenham dhidi ya Liverpool mwaka 2018 lilikuwa goli bora la mwezi huo.

Pia amechezea timu ya taifa ya Kenya. Wanyama ni ndugu ya nyota mwingine wa soka Macdonald Mariga.

Tazama Video zaidi
Nyota ya refa wa Somalia yazimwa
Fimbo ya DRC katika uwanja la Kombe la Dunia
Mtoto wa Sudan na Tumbusi
Mkenya Sabastian Sawe aweka historia marathon amaliza chini ya saa mbili
Papa Wemba: Kumbukumbu ya miaka 10 tangu afariki
Nyuma ya Kamera: Kisa cha picha maarufu ya Muhammad Ali
AFCON 2025: Ni Senegal au Morocco?
Kocha wa Morocco asema 'Hatubebwi na marefa'
Viwanja vya AFCON 2025 Morocco
Tanzania yaaga mashindano ya AFCON 2025