Pengine unamfahamu Victor Wanyama au umeshawahi kumuona au hata kumsikia.
Victor Wanyama, ni Mkenya wa kwanza kucheza katika Ligi kuu ya England EPL.
Akianza akiwa na umri wa miaka 15, amechezea klabu hizi: Nairobi City Stars, AFC Leopards, Beerschot AC, Celtic, Southampton, Tottenham Hotspurs, CF Montreal na sasa yuko na Dunfermline Athletic.
Goli lake akiichezea Tottenham dhidi ya Liverpool mwaka 2018 lilikuwa goli bora la mwezi huo.
Pia amechezea timu ya taifa ya Kenya. Wanyama ni ndugu ya nyota mwingine wa soka Macdonald Mariga.
02:02
02:02
Tazama Video zaidi
Yuko wapi Victor Wanyama?
Tazama Video zaidi