| swahili
03:08
Afrika
Safari ya Urais ya Raila Odinga
16 Oktoba 2025

Kufuatia harakati za vuguvugu za kisiri za Raila Odinga, sio rahisi kusema ni lini hasa alianza kujiingiza katika siasa, lakini kwa zaidi ya miongo minne amekuwa mmoja wa viongozi wenye ushawishi mkubwa katika siasa za Kenya.

Amegombea urais bila mafanikio, lakini jina lake limekuwa kwenye ulingo wa siasa kwa muda wote.

Tazama Video zaidi
Rais Samia atangazwa mshindi
Mwinyi ashinda uchaguzi Zanzibar
Kura zinaendelea kuhesabiwa Tanzania
Ulinzi mkali jijini Dar es Salaam kufuatia Uchaguzi Mkuu
Raia wa Tanzania waanza kupiga kura
Kampeni zakamilika Tanzania
'Coco Beach': Maisha yanasonga kawaida
Kasi ya biashara yapungua jijini Dar es Salaam Kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Tanzania: Wito wa amani watolewa kwa Uchaguzi Mkuu 2025
Uchaguzi Tanzania 2025: Je, unafahamu haya kuhusu uchaguzi mkuu?